Elimu ya bure kuhusu mnyama tembo

Elimu ya bure kuhusu mnyama tembo

munirah

JF-Expert Member
Joined
Mar 13, 2015
Posts
551
Reaction score
224
Tembo ni mnyama wa mwituni katika kundi la wanyama walao majani! Mnyama huyu ana mengi ya kufahamu yenye kuburudisha kufundisha na kutoa miongozo ya jinsi gani mazingira tunayoishi yanaweza kubadilika kutokana na uwepo wao! Hata hivyo tumekuwa tukifahamu machache kuhusu tembo! Katika uzi huu naruhusu uniulize swali au maswali kumuhusu mnyama tembo na nitajibu kadri ambavyo itapasa! Karibu sana
 
Tembo anazaa mtt wa kilo ngapi?
Anabeba mimba kwa muda gani hadi kujifungua.?
Tembo anaishi miaka mingapi?life span
Na je kwa uzito alionao wanajamiiana vipi?
 
Nasikia kiungo cha uzazi cha tembo dume kinafika urefu wa futi 1... Je ni kweli?
 
Majibu lini munirah
mi nauliza tu uzito wake na kwa siku anakula chakula kiasi gani na nifuate itaratibu upi nikitaka kumfuga?
 
Last edited by a moderator:
Kwa ukubwa wake na uzito wake akivukuzana na mwanadam anaweza kumkamata?
 
Tembo ni mzuri kwenye kuona, kusikia au kunusa au vyote?
 
Tembo ni mnyama wa mwituni katika kundi la wanyama walao majani! Mnyama huyu ana mengi ya kufahamu yenye kuburudisha kufundisha na kutoa miongozo ya jinsi gani mazingira tunayoishi yanaweza kubadilika kutokana na uwepo wao! Hata hivyo tumekuwa tukifahamu machache kuhusu tembo! Katika uzi huu naruhusu uniulize swali au maswali kumuhusu mnyama tembo na nitajibu kadri ambavyo itapasa! Karibu sana
Umeliwa na fisi ??? Hatuoni majibu !!!
 
Back
Top Bottom