Elimu ya Bulembo ni Kituko cha Mwaka

Elimu ya Bulembo ni Kituko cha Mwaka

amilyroley

JF-Expert Member
Joined
Jun 23, 2015
Posts
621
Reaction score
1,200
Huyu jamaa nilikiwa najifikiria mbona anatukana hajui kujenga hoja na anaropoka tu? Nilikuwa na maswali mengi sana juu ya IQ yake. Nikafuatilia sana. Daaaaaaaaaaaaaahhhh kumbe elimu yake ni kichekesho. Mwacheni aropoke. Kule kwetu Manyovu mkoani Kigoma tunaiita Ngumbaro
 
Huyu jamaa nilikiwa najifikiria mbona anatukana hajui kujenga hoja na anaropoka tu? Nilikuwa na maswali mengi sana juu ya IQ yake. Nikafuatilia sana. Daaaaaaaaaaaaaahhhh kumbe elimu yake ni kichekesho. Mwacheni aropoke. Kule kwetu Manyovu mkoani Kigoma tunaiita Ngumbaro

Wakati Ukiendelea Kuicheka ELIMU Ya Bulembo Je Unaonaje Pia Kwa Moyo Huo Huo MKUNJUFU Ukituwekea Na Elimu Ya Babako Tuichambue Pia?
 
Magufuli akipita, jamaa atapata ukuu wa wiliya.
 
Wakati Ukiendelea Kuicheka ELIMU Ya Bulembo Je Unaonaje Pia Kwa Moyo Huo Huo MKUNJUFU Ukituwekea Na Elimu Ya Babako Tuichambue Pia?

Na wewe usisahau kuweka ya babako nayo ichambuliwe
 
Jaribu kufafanua,anaelimu gani? kama itawezekana tuwekee cv yake maana kauli zake ni za ajabu sana !!!!!
 
Ccm aliekua na akili ni Nyerere tu na Lowassa baada ya Lowassa, baada ya Lowassa kuhama kule ccm imebakia genge la vilaza wa karne hii kina makongoro nyerere ambao ndio vilaza wakubwa karne ya 21 cha ajabu ndio think tank ya ccm.

Angalia masaburi,job ndugai, angalia kibajaji,angalia mihogo aliemaliza form for 4 akaenda kusoma phd ya kanisa bila bachelor wala masters.

Ccm ni kusanyiko la vilaza wa karne.
 
Wakati Ukiendelea Kuicheka ELIMU Ya Bulembo Je Unaonaje Pia Kwa Moyo Huo Huo MKUNJUFU Ukituwekea Na Elimu Ya Babako Tuichambue Pia?

Dada usibwate.. Nimezaliwa udsm na nimekulia Udsm mtaa unaitwa kilimahewa. Kaulizie Mabhoko udsm ni nani na anatoka mkoa gani ----- wewe. Familia yetu jumla kuna degree 9. Sio wewe wa uwanja wa fisi shangazi wewe
 
Dada usibwate.. Nimezaliwa udsm na nimekulia Udsm mtaa unaitwa kilimahewa. Kaulizie Mabhoko udsm ni nani na anatoka mkoa gani ----- wewe. Familia yetu jumla kuna degree 9. Sio wewe wa uwanja wa fisi shangazi wewe

Hizo Degree Tisa Za KIFAMILIA Zinaweza Zote Zikawa Ni Za " UPUMBAVU, UPOPOMA Na ULOFA ".
 
Jaribu kufafanua,anaelimu gani? kama itawezekana tuwekee cv yake maana kauli zake ni za ajabu sana !!!!!
Hivi MTU wa elimu ya darasa la saba kuna haja ya kuweka CV?
 
Nimeshangaa Bulembo kusema Halima Mdee hadi aende labour lkujifungua ndo aseme ana uchungu na wanawake
nimeshangaa sana.....sijui sheria zinasemaje za uchaguzi
haya ni matusi ya nguoni
 
Bulembo anatumia vyeti vya Abdakah Majula mtangazaji vya Ikizu secondary ila aliishia darasa na tano Mkendo shule ya msingi (Mara) Kama unabisha uliza watu Wa Musoma
 
Hizo Degree Tisa Za KIFAMILIA Zinaweza Zote Zikawa Ni Za " UPUMBAVU, UPOPOMA Na ULOFA ".

Sina uhakika sana kama udsm zipo hizo degree, anyway umejibiwa ilikupasa na wewe kujibu na sio kutoa povu.
 
Dada usibwate.. Nimezaliwa udsm na nimekulia Udsm mtaa unaitwa kilimahewa. Kaulizie Mabhoko udsm ni nani na anatoka mkoa gani ----- wewe. Familia yetu jumla kuna degree 9. Sio wewe wa uwanja wa fisi shangazi wewe

mkuu degree kama m.a.t.a.k.o siku hizi kila mtu anayo acha kujitapa mwendawazimu gamba
 
Back
Top Bottom