Elimu ya Tanzania inahitaji marekebisho.Kwanza choice sio nyingi.Kungekuwa na somo la Accounting,Economics,Psychology na masomo mengine,kuanzia ngazi ya chini,watu wangekuwa na choices nyingi,na pia ingetoa wasomi waliotukuka,ambao wanaweza kuajiriwa au kujiajiri,sio mtu anaenda kusoma Accounting and Finance,wakati hata excel hajawahi kufungua lol,halafu mnataka watu wajiajiri how?km hawana elimu ya kutosha?Elimu yetu iendane na dunia inavyobadilika,sio syllabus ya Enzi za mkoloni,sio lazima kusoma ma PCB,PCM,wastage of time.