puppa
JF-Expert Member
- Oct 5, 2015
- 379
- 176
Wengi wao wamebaki kusikitika na kujuta malengo yao yameyeyuka kama mshumaa.
Wapo waliotegemea kuja kuwa Madaktari, Injinia lakini wamejikuta wameangukia katika Ualimu na fani nyingine. Elimu ya bongo ni kukomoana tu mikopo shida, walimu wanadharaulika wanaitwa kila aina ya majina ya ajabu ajabu wanafikia hatua hadi ya kupigwa bakora mbele ya watoto. Inauma sana!
Mtoto wangu siwezi kumpeleka A-level ni bora akapige Diploma tu, elimu ya A-level ni pata potea kama kamari vile.
Wapo waliotegemea kuja kuwa Madaktari, Injinia lakini wamejikuta wameangukia katika Ualimu na fani nyingine. Elimu ya bongo ni kukomoana tu mikopo shida, walimu wanadharaulika wanaitwa kila aina ya majina ya ajabu ajabu wanafikia hatua hadi ya kupigwa bakora mbele ya watoto. Inauma sana!
Mtoto wangu siwezi kumpeleka A-level ni bora akapige Diploma tu, elimu ya A-level ni pata potea kama kamari vile.
[HASHTAG]#GodIsWatching[/HASHTAG]