Elimu ya A-level ni kupoteza muda na malengo

Elimu ya A-level ni kupoteza muda na malengo

puppa

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2015
Posts
379
Reaction score
176
Wengi wao wamebaki kusikitika na kujuta malengo yao yameyeyuka kama mshumaa.

Wapo waliotegemea kuja kuwa Madaktari, Injinia lakini wamejikuta wameangukia katika Ualimu na fani nyingine. Elimu ya bongo ni kukomoana tu mikopo shida, walimu wanadharaulika wanaitwa kila aina ya majina ya ajabu ajabu wanafikia hatua hadi ya kupigwa bakora mbele ya watoto. Inauma sana!

Mtoto wangu siwezi kumpeleka A-level ni bora akapige Diploma tu, elimu ya A-level ni pata potea kama kamari vile.
 
Wengi wao wamebaki kusikitika na kujuta malengo yao yame yeyuka kama mshumaa.
Kwa uelewa wangu hatua za elimu zimepangwa kiufanisi zaidi kila hatua ipo kwa muendelezo wa hatua inayofuata.
Jiulize nini maana ya chekechea? Kwa nini darasa lisianzie la kwanza.
Kwa nini upoteze miaka saba ni nini hasa unapata ktk kipindi cha miaka 7 ya shule ya msingi. Ukweli hakuna profesional yeyote unayoipata ukimaliza miaka 7 ya shule ya msingi. Sasa kwa nini lzm udome?

Tuje secondary ambayo ni miaka 4. Sasa ukichukua mtu wa darasa la saba na aliye form 4 na kulinganisha. Wote hawa hawana taaluma lkn tofauti ipo na ipo ktk utayali.
Kwa mifano hii inaonyesha kutoka sehemu moja hadi nyingine pana umbali.
Na ili uhesabike kuwa umefanya umbali kadhaa itabidi tuhesabu hatua.
Na ili ufanye hatua inabidi uiandae.na unapokamilisha hatua inaleta mwendelezo wa hatua nyingine. Ukijumlisha unapata mwendo.

Ukiona hizo hatua sio muhimu hapo huna budi kuruka. Na mifano hai ipo wengi wameruka na wapo.

Na hitimisha kukuambia A level ni hatua kwa ajili ya kufanya hatua nyingine.
 
puppa,
I second you haswaa..mimi sitokaa nimshauri mtu aende A-level hata siku moja katika maisha yangu yaliobaki hapa duniani. Ni kupoteza muda na malengo tuu..Inauma sana mtu unasoma kwa shida na bidii zote hatimae... [HASHTAG]#GodIsWatching[/HASHTAG]
 
I second you haswaa..mimi sitokaa nimshauri mtu aende A-level hata siku moja katika maisha yangu yaliobaki hapa duniani. Ni kupoteza muda na malengo tuu..Inauma sana mtu unasoma kwa shida na bidii zote hatimae... [HASHTAG]#GodIsWatching[/HASHTAG]
inauma sana
 
Back
Top Bottom