Elimu ni umaskini na ujinga

Elimu ni umaskini na ujinga

Gen Alpha

IMG.jpg
 
Halafu unaishia kukosa ajira na unaanza kujitafuta mwenyewe mpaka ujipate miaka 30 imefika! Harakati za kuanzisha familia zinaanza huku ukiwa umepoteza miaka mingi ukiwa masomoni kwa lengo la kuajiriwa
 
ni bure sana miaka saba una fundishwa methari haba na haba……………
 
elimu ni muhimu, japo kwenye maslahi ndo pasua kichwa, mfumo wauboreshe
 
Back
Top Bottom