Mema Tanzania
Member
- Feb 23, 2020
- 66
- 65
"Elimu ni ufunguo wa maisha". Moja ya msemo ambao tumekuwa tukiusikia tangu awali. Ni kiasi gani msemo huu umeakisi maisha yako baada ya kuhitimu elimu ya chuo kikuu?
Unamaana kiwango cha elimu ya juu sio lazima?Wakinga walioishia la 3B wana maduka ya jumla Kariakoo . Ok hata la tatu nayo ni elimu
Elimu ni ufunguo wa maisha."Elimu ni ufunguo wa maisha". Moja ya msemo ambao tumekuwa tukiusikia tangu awali. Ni kiasi gani msemo huu umeakisi maisha yako baada ya kuhitimu elimu ya chuo kikuu?
Wakinga walioishia la 3B wana maduka ya jumla Kariakoo . Ok hata la tatu nayo ni elimu
Elimu sio kukaa darasani.Hao Wana elimu ya biashara yaani kanuni na uzoefu wa biashara thus Wana maduka.Wakinga walioishia la 3B wana maduka ya jumla Kariakoo . Ok hata la tatu nayo ni elimu
Ipo tofauti Kati ya kusoma darasani kisha unapewa vyeti na kusoma maisha kisha unapata uzoefu wa maishaAcha hao, wachaga wengi walio na mafanikio makubwa sahv wengi waliishia la 4 au hawakusoma kabisa
Ipo tofauti Kati ya kusoma darasani kisha unapewa vyeti na kusoma maisha kisha unapata uzoefu wa maisha
Balance vyote,ila muhimu elimu ya awali amalize angalau sekondari Kisha akasomee fani iendanayo na kile akipendacho.Kwahiyo tu-focus wapi? Watoto kusoma ili kupata vyeti wakati hamna ajira au tuwape elimu ya maisha?
Mbona wapo kibao mitaani tumekaa darasani miaka 20 tumerudi tumewakuta wako choka mbaya kitaa wameshazeeka na sasa tunapiga pesa wanakuja kuomba omba. Kwa maisha ya Mtanzania bado elimu ni ufunguo wa maisha kwa kiasi kikubwa sana.We upo darasani miaka 20 mwenzake yupo kwenye biashara miaka 20 huwezi mkuta ktk maisha labda umalize chuo upite bila kupingwa au upate nafasi ya kufanya ufisadi
True wamekalia almas bila kujua sababu ya elimu thus mwenye elimu uona fursa hizoMbona wapo kibao mitaani tumekaa darasani miaka 20 tumerudi tumewakuta wako choka mbaya kitaa wameshazeeka na sasa tunapiga pesa wanakuja kuomba omba. Kwa maisha ya Mtanzania bado elimu ni ufunguo wa maisha kwa kiasi kikubwa sana.
Fanya hivi peleka mtoto shule ..wakati yuko shule mchana live kuwa hakuna ajira. ..tumia mfumo wa wahindiKwahiyo tu-focus wapi? Watoto kusoma ili kupata vyeti wakati hamna ajira au tuwape elimu ya maisha?
Fanya hivi peleka mtoto shule ..wakati yuko shule mchana live kuwa hakuna ajira. ..tumia mfumo wa wahindi
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Hio ya darasa la 4 ni elimu sio sawa na ambaye hajasoma kabisa.Elimu sio lazima itolewe darasani hata nje ya darasa.Watanzania wengi wana elimu ya nje ya darasa kama ufundi nyumba,ususi,kinyozi,uselemala nk.Acha hao, wachaga wengi walio na mafanikio makubwa sahv wengi waliishia la 4 au hawakusoma kabisa