Right Marker
Senior Member
- Apr 30, 2018
- 194
- 624
"ELIMU NA CONNECTION" NI KAMA BINADAMU NA NGOZI YAKE.
Salaam kwa wasomi...
Salaam kwa mliopo Vyuoni...
Nawasalimu kwa jina la "elimu na connection" - Itika "Mtaani kugumu".
Tusiwanyime ubuyu wadogo zetu waliopo vyuoni. Sikuhizi "elimu na connection" ni kama binadamu na ngozi yake. Kumtenganisha binadamu na ngozi yake utamsababishia umauti (kifo), ndivyo ilivyo kwa mtu mwenye elimu asiyekuwa na connection mjini.
Kwa sasa ni ngumu kutenganisha hivi vitu viwili (elimu na connection), elimu bila connection ni sawa na binadamu aliyechunwa ngozi yake yote kisha akapewa nafasi nyingine ya kuishi.
Right Marker
Dar es salaam.
Salaam kwa wasomi...
Salaam kwa mliopo Vyuoni...
Nawasalimu kwa jina la "elimu na connection" - Itika "Mtaani kugumu".
Tusiwanyime ubuyu wadogo zetu waliopo vyuoni. Sikuhizi "elimu na connection" ni kama binadamu na ngozi yake. Kumtenganisha binadamu na ngozi yake utamsababishia umauti (kifo), ndivyo ilivyo kwa mtu mwenye elimu asiyekuwa na connection mjini.
Kwa sasa ni ngumu kutenganisha hivi vitu viwili (elimu na connection), elimu bila connection ni sawa na binadamu aliyechunwa ngozi yake yote kisha akapewa nafasi nyingine ya kuishi.
Right Marker
Dar es salaam.