UKWAJU WA KITAMBO
Member
- Feb 6, 2024
- 40
- 65
Elimu ina wanja mpana,huwezi kumchukua Mario au J Melody ukampeleka University asomee bachela ya kitu ambacho hakita msaidia kutunga mashairi mazuri na Zombi S2Kz akagonga beat kali na kazi kuwekwa kwenye Digital Platforms ikauza,
Ila nachoona muhimu kwa Dunia ya leo ni Exposure tu,
Unaweza soma halafu huna exposure na elimu yako ikawa yuzilesi na ukazidiwa maarifa na mwenye hana!
Mfano exposure ya Maghayo aliyepo Huko Oslo Scandinavia ni kubwa kuliko aliyonayo Idugunde aliyeko Dodoma kumbuka Idugunde ni msomi aliye sajiliwa Lumumba buku 7
[emoji16][emoji16]
Naifahamu elimu ya naibu waziri.....najua mambo yalivyogonga mwamba ila akatoboa!
Sina hakika kama inamsaidia kuwa hapo alipo!
ELIMU haina msaada wowote kwenye ardhi hii yetu!
Jitahidi uwe na kadi ya kijani, ufahamiane nao, umemaliza kila kitu! Utapata kila kitu ikiwemo hiyo eksiposhza!
Elimu Vs Kadi ya kijani
Muulize msukuma!
Hivi jay z sna degree
Au rickross
Wakina madona je?
Ova
ELIMU KWA WASANII WA BONGO
Hayati mwalimu Julius .k.Nyerere aliwahikusema kipindi cha harakati ya kugombanaia uhuru kuwa elimu ndio ufunguo na msingi wa kila kitu ,nukuu mwalimu alisema βhakika vita vya sasa sio vya mashoka wala upindi na mshale β¦msishangae ndugu zangu najua mnajiulizaβ¦!! vita vya sasa ni kujikomboa na umaskini na ujinga na kufanya hivyo hatuna budi tusome ,ELIMU NDIO UFUNGUO WA MAISHA YETU SOTE β
Maneno hayo yaliozungumzwa miaka 50 iliyopita bado yanafanyiwa kazi na wasanii wetu wa swahili hip hop.
Wasanii wamekuwa mfano mzuri kwa jamii yetu na hivyo basi wanasisitiza shikilia ndoto yako ya elimu kwani ndio ufunguo wa kila kitu..
Ni suala lisilopingika kwamba elimu ya darasani ina nafasi yake katika uendeshaji wa maisha japo inaweza isiwe na mchango wa moja kwa moja katika sanaa ya muziki wa Bongo Fleva. Wasanii wengi wa Bongo Fleva wameishia darasa la saba. Baadhi yao wamebahatika kuishia kidato cha nne na wachache sana wana elimu ya kidato cha sita au/na chuo kikuu. Hali kadhalika, wasanii wengi (zaidi ya 90%) nchini Tanzania hawana Elimu ya muziki au sanaa. Kukosekana kwa elimu hiyo kunachangia wasiwe na maarifa ya ziada ya kuweza kusimama vizuri katika muziki wao..
#FUNGUKA.
nitajie majina ya wasanii wenye kisomo Bongo ..
Naifahamu elimu ya naibu waziri.....najua mambo yalivyogonga mwamba ila akatoboa!
Sina hakika kama inamsaidia kuwa hapo alipo!
ELIMU haina msaada wowote kwenye ardhi hii yetu!
Jitahidi uwe na kadi ya kijani, ufahamiane nao, umemaliza kila kitu! Utapata kila kitu ikiwemo hiyo eksiposhza!
Elimu Vs Kadi ya kijani
Muulize msukuma!
Kiukweli wewe ni utambui umuhimu wa Elimu katika sanaa Elimu inampa wingo mpana msanii wa kufikiri wakati anaandika mashairi / Tungo mbalimbali katika nyimbo zake Tofauti na msanii ambaye hana Elimu. Mfano wasanii ambao wanafanya Muziki wa Rap / Hip hop KWA Asilimia kubwa wasanii wa Hip hop wanaelimu na ndio maana mashairi yao inahitaji muda mwingi wa kukaa na kufikiri ili uweze kung'amua kile alichokimaanisha msanii ndani ya wimbo huo.
Mfano:
Fid Q nk.
π«Wewe nae pia ni mpumbavu namba mbili.
Lete fact acha ushamba nyau wewe,Wewe ni mpumbavu sana.
Hivi wewe mshamba unaona hao ndio wasomi?Mwana FA
Nick wa Pili
Roma Mkatoliki
Wakazi
Crazy GK
Nick Mbishi
Stereo
Mex cortex
Baghdadi