- Thread starter
- #21
Hizo range maana yake ziko within acceptable standards. Itabaki tofauti ni mahitaji na bei ya mtu husika.TBS wanaset standard range low-High value. Hapo sasa ndio kiwanda kinaamua kuweka bidhaa katika hizo ranges from low-High standard. Ndio maana kampuni nyingi za maji zinaruhusiwa na TBS lakini bado yanatofautiana ubora.