ray mark
Member
- Jan 19, 2012
- 19
- 1
warizi wa elimu how is it sounds to your ears when you hear the sounds of Innocent children claiming for education as their rights. too sad
how is it sounds to your ears when you hear the sounds of Innocent children claiming for education as their rights.too sad
unajua inasisimua sana kuona watoto wadogo wanaimba kwa uchungu wasome kwakuwa nanyie mmesoma, hivi kweli hamshituki tu?
kweli inafika wanafunzi wanafundishana kwasababu ya waalimu kugoma? yaani serikali imeshindwa uongozi
hivi kweli kati ya watu zaidi ya45M tumekosa mtu wa kuiongoza elimu? we must be joking i swear, this can't be true going on in our country
how is it sounds to your ears when you hear the sounds of Innocent children claiming for education as their rights.too sad
unajua inasisimua sana kuona watoto wadogo wanaimba kwa uchungu wasome kwakuwa nanyie mmesoma, hivi kweli hamshituki tu?
kweli inafika wanafunzi wanafundishana kwasababu ya waalimu kugoma? yaani serikali imeshindwa uongozi
hivi kweli kati ya watu zaidi ya45M tumekosa mtu wa kuiongoza elimu? we must be joking i swear, this can't be true going on in our country