Elimu, hapa kazi tu

Elimu, hapa kazi tu

Yericko Nyerere najua utanifikishia ujumbe wangu panapousika
kama umeona star tv wanavyomchafua mgombe wetu ndugu Lowassa..nasisi tutengeneze matangazo ya kuonyesha shule kama hizi na nyingine chakavu..na jinsi lowassa atakavyo badilisha.. hatuoni tangazo hata moja kwenye tv likionyesha mafuriko yetu..kwanini hatuna matangazo kwenye tv..tatizo liko wapi
 
Last edited by a moderator:
11201865_701128113365151_5530777552014455207_n.jpg
Huyu mwalimu akipewa laptop atafundisha kwa ufasaha zaidi ndo maana tumeahidi laptops
 
Yericko Nyerere najua utanifikishia ujumbe wangu panapousika
kama umeona star tv wanavyomchafua mgombe wetu ndugu Lowassa..nasisi tutengeneze matangazo ya kuonyesha shule kama hizi na nyingine chakavu..na jinsi lowassa atakavyo badilisha.. hatuoni tangazo hata moja kwenye tv likionyesha mafuriko yetu..kwanini hatuna matangazo kwenye tv..tatizo liko wapi

mkuu alafu ungejua kuwa huo msemo wa "hapa kazi tu" ni msemo wa vijana wengi ambao maisha yao hayana mbele wala nyuma.
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom