Alafu bado kuna watu wanahangaika na CCM..... Uji.nga mtupu
Halaf kuna waziri, naibu waziri, katibu mkuu na naibu katibu mkuu wanatembelea gari la 300m, kutoka posta mpka mikocheni/masaki hii ni dhambi kubwa sana kwa Mwenyezi Mungu.
Halafu mtu anapanga mstari masaa tisa unaweka tiki kabisa katika kisanduku cha kura kuwachagua hawa watu
Halafu na laptop tutapewa teh, huyo mwalimu sijui ataiweka wapi Toshiba yake
Miaka yote toka UHURU hali ndo hii,na bado mtu anaitetea CCM, mirembe iongezewe eneo kwa kweli!!!!!!
Halaf kuna waziri, naibu waziri, katibu mkuu na naibu katibu mkuu wanatembelea gari la 300m, kutoka posta mpka mikocheni/masaki hii ni dhambi kubwa sana kwa Mwenyezi Mungu.
Halafu mtu anapanga mstari masaa tisa unaweka tiki kabisa katika kisanduku cha kura kuwachagua hawa watu