Elimu haina mwisho nielimisheni

Elimu haina mwisho nielimisheni

Retired

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
50,146
Reaction score
96,194
Kenya kuna kitu kinaitwa county. Kina bunge lake.
1. What is the equivalent of a county to Tanzania administrative system?
2. Naangalia Citizen Tv, Kenya, county ina bunge, wanatunga sheria , je hakuna mgongano wa bunge Kuu la Kenya na mabunge haya ya county? How do they work harmoniously?
 
Japo tafsiri sio ya moja kwa moja, lakini

County ni kama ilivyo Halmashauri Tanzania
Kuna madiwani nk..
 
Hizo ni Halmashauri. Hata Tanzania Halmashauri zinatunga Sheria zinazoitwa By-laws
 
Hizo ni Halmashauri. Hata Tanzania Halmashauri zinatunga Sheria zinazoitwa By-laws
Asante sana, uko sahihi. Lakini haziko chini ya Mkurugenzi, zenyewe zina jitosheleza.......na bajeti yao ...hawategemei mkurugenzi kuwagawia hela
 
Back
Top Bottom