Elimu bure mtihani mzito kwa Serikali

kbm

JF-Expert Member
Oct 5, 2012
5,224
1,676
Shule yenye wanafunzi 650 imejengwa kwa miti na nyasi, huku wanafunzi wakikaa chini...!
Shulematofali.jpg
IMG_20160207_092016.jpg
IMG_20160207_073743.jpg
 
Elimu bure ni Usanii


1. Elimu bure huku wanafunzi wanakaa chini.. Hakuna vikalio.

2.Elimu bure huku Wanafunzi na Waalimu wanajisaidia Porini


3. Elimu ya bure shule haina Vitabu


4. Elimu ya bure shule haina vyumba vya Madarasa..... Wanasomea chini ya mti.


5. Elimu bure Darasa moja wanakaa wanafunzi 180.


6. Elimu bure Shule hazina Vitabu.




Hii fedha ingeelekezwa kwanza ktk kuboresha miundo mbinu ya kufundishia..


Ni bora Wazazi tungechangia kitu kizuri kuliko kupewa bure kitu kibovu.


Mzee!
 
kilakitu kina changamoto zake, kuongezeka idadi kubwa ya wanafunzi walioandikishwa darasa la kwanza inaonyesha wazazi wengi walikuwa hawapeleki watoto wao shuleni kutokana na michango pia hata makadirio ya serikali yalikuwa chini cha muhimu ni serikalikukabiliana na changamoto hizo
 
kilakitu kina changamoto zake, kuongezeka idadi kubwa ya wanafunzi walioandikishwa darasa la kwanza inaonyesha wazazi wengi walikuwa hawapeleki watoto wao shuleni kutokana na michango pia hata makadirio ya serikali yalikuwa chini cha muhimu ni serikalikukabiliana na changamoto hizo
Mpango wa elim bure haukuwa kwenye bajet ya 2015/16 ndo maana had sasa serikal haina idad kamil ya watoto waliopo shuleni labda kwa takwim za February
 
Elimu bure ni Usanii


1. Elimu bure huku wanafunzi wanakaa chini.. Hakuna vikalio.

2.Elimu bure huku Wanafunzi na Waalimu wanajisaidia Porini


3. Elimu ya bure shule haina Vitabu


4. Elimu ya bure shule haina vyumba vya Madarasa..... Wanasomea chini ya mti.


5. Elimu bure Darasa moja wanakaa wanafunzi 180.


6. Elimu bure Shule hazina Vitabu.




Hii fedha ingeelekezwa kwanza ktk kuboresha miundo mbinu ya kufundishia..


Ni bora Wazazi tungechangia kitu kizuri kuliko kupewa bure kitu kibovu.


Mzee!
Wewe umefanya nini kuboiresha hayo. Hebu kwanza ushangilie imeonekana watoyto wengi walikuwa hawaandikishwi .Hizo changamoto kwa serekali ya Magufuli yatafumnbuliwa within no time,. Hebu muwe na kutambua juhudi angalaun hatan kidogo,. Hivi uzalendoi wenu uko wapi. What do you want the President to do ??!?! Kwanza kabisa wewe huhusiki hata kidogo poelaka watoto wako kwenye maacademia huko. wahusika wenyewe wanafurahia kupita kiasi. Ninyi ndio wakwamisha maendeleo mnapinga kila kjitu kila kitu!!!!
 
Elimu bure ni Usanii


1. Elimu bure huku wanafunzi wanakaa chini.. Hakuna vikalio.

2.Elimu bure huku Wanafunzi na Waalimu wanajisaidia Porini


3. Elimu ya bure shule haina Vitabu


4. Elimu ya bure shule haina vyumba vya Madarasa..... Wanasomea chini ya mti.


5. Elimu bure Darasa moja wanakaa wanafunzi 180.


6. Elimu bure Shule hazina Vitabu.




Hii fedha ingeelekezwa kwanza ktk kuboresha miundo mbinu ya kufundishia..


Ni bora Wazazi tungechangia kitu kizuri kuliko kupewa bure kitu kibovu.


Mzee!
Wengine wanasomea chini ya miti,sijui wakati wa mvua wanakuwa ktk mazingira gani masikini watoto wetu
1454861282683.jpg
 
kilakitu kina changamoto zake, kuongezeka idadi kubwa ya wanafunzi walioandikishwa darasa la kwanza inaonyesha wazazi wengi walikuwa hawapeleki watoto wao shuleni kutokana na michango pia hata makadirio ya serikali yalikuwa chini cha muhimu ni serikalikukabiliana na changamoto hizo
Kwanini walikurupuka?serikali ina wataalam mbalimbali, huo ni utapeli
 
Back
Top Bottom