Shule za msingi zinaingiziwa ruzuku ya Elimu Bure kila mwezi,katika ruzuku hiyo Kuna mgawanyo wa vifungu tano navyo ni utawala,ukarabati,mitihani,michezo na vifaa.Katika shule anayosoma mwanangu shule imepewa jumla ya sh 280000 shule hiyo inajumla ya wanafunzi 535.Chakushangaza serikali imeshindwa kabisa kutenga pesa kwa ajili ya kumlipa mlinzi,kutoa lishe(uji) shuleni.
Hata pesa zilizotolewa kwa ajili ya mitihani hazitoshi kabisa.Elimu Bure imeleta shida zaidi shuleni
Hata pesa zilizotolewa kwa ajili ya mitihani hazitoshi kabisa.Elimu Bure imeleta shida zaidi shuleni