Elimu bure imefukuzisha walinzi wa shule

Elimu bure imefukuzisha walinzi wa shule

Mssassou

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2015
Posts
1,537
Reaction score
597
Shule za msingi zinaingiziwa ruzuku ya Elimu Bure kila mwezi,katika ruzuku hiyo Kuna mgawanyo wa vifungu tano navyo ni utawala,ukarabati,mitihani,michezo na vifaa.Katika shule anayosoma mwanangu shule imepewa jumla ya sh 280000 shule hiyo inajumla ya wanafunzi 535.Chakushangaza serikali imeshindwa kabisa kutenga pesa kwa ajili ya kumlipa mlinzi,kutoa lishe(uji) shuleni.
Hata pesa zilizotolewa kwa ajili ya mitihani hazitoshi kabisa.Elimu Bure imeleta shida zaidi shuleni
 
Shule za msingi zinaingiziwa ruzuku ya Elimu Bure kila mwezi,katika ruzuku hiyo Kuna mgawanyo wa vifungu tano navyo ni utawala,ukarabati,mitihani,michezo na vifaa.Katika shule anayosoma mwanangu shule imepewa jumla ya sh 280000 shule hiyo inajumla ya wanafunzi 535.Chakushangaza serikali imeshindwa kabisa kutenga pesa kwa ajili ya kumlipa mlinzi,kutoa lishe(uji) shuleni.
Hata pesa zilizotolewa kwa ajili ya mitihani hazitoshi kabisa.Elimu Bure imeleta shida zaidi shuleni
Je kukiwa na umeme na maji bill inalipwa kutoka fungu gani, utawala?
 
kuwa na subira au wazazi wapeane zamu ya kulinda kwa kutumia POLISI JAMII
 
kuwa na subira au wazazi wapeane zamu ya kulinda kwa kutumia POLISI JAMII
Ha ha ha mume wiki mbili lindoni akipumzika mke nae anamalia mbili tayari mwezi, zamu inahamia kwa mzazi mwingine
 
Shule za msingi zinaingiziwa ruzuku ya Elimu Bure kila mwezi,katika ruzuku hiyo Kuna mgawanyo wa vifungu tano navyo ni utawala,ukarabati,mitihani,michezo na vifaa.Katika shule anayosoma mwanangu shule imepewa jumla ya sh 280000 shule hiyo inajumla ya wanafunzi 535.Chakushangaza serikali imeshindwa kabisa kutenga pesa kwa ajili ya kumlipa mlinzi,kutoa lishe(uji) shuleni.
Hata pesa zilizotolewa kwa ajili ya mitihani hazitoshi kabisa.Elimu Bure imeleta shida zaidi shuleni
Copy and paste ya sera ya Elimu imemtokea Pombe puani.
 
Shule anayosoma mwanangu, tulikubaliana (sisi wazazi) tuchangie pesa kwa ajili ya kumlipa mlinzi, thubuuutu, mwalimu mkuu alikataa kata kata, kisa, wamepigwa mkwara kuchangisha wazazi chochote kile, hata kama wazazi wenyewe wataridhia. Ndo mjue huu utawala wa Magufuli ni wa ajabu sana. Yaani pesa zinazopelekwa shuleni hazitoshelezi matumizi, wazazi wakitaka kuchangia ili mambo yaende, mwalimu anafukuzwa. Mi nadhani lengo lao ni kudumaza wanafunzi ili kuwe na kizazi kisichojitambua ili CCM itawale milele. Kwa maana ukitaka uwe adui wa CCM, elimika vya kutosha.
 
Kifungu cha Utawala kina Swihi kulipia Ulinzi!
Hakuna sera isiyo na Changamoto hata wakati wa Sera ya vijiji vya ujamaa kuna watu waliliwa na wanyama.
 
Muongozo wa wadau kwa maana ya wazazi kuchangia iko wazi. Kilichofutwa ni michango yote ,yote, Inayowazuia watoto kusoma.. Wadau hawajakatazwa kuboost mazingira ya elimu kwa watoto wao.
Acheni kupotosha.











enyewe wataridhia. Ndo mjue huu utawala wa Magufuli ni wa ajabu sana. Yaani pesa zinazopelekwa shuleni hazitoshelezi matumizi, wazazi wakitaka kuchangia ili mambo yaende, mwalimu anafukuzwa. Mi nadhani lengo lao ni kudumaza wanafunzi ili kuwe na kizazi kisichojitambua ili CCM itawale milele. Kwa maana ukitaka uwe adui wa CCM, elimika vya kutosha.[/QUOTE]

Acheni kusambaza ujinga. Mion
 
Mi ya mwanangu ina watoto 246 ilipata tsh 146000 nkamuuliza ticha mbona zinaishia kwenye chaki tu na red pen? Andalio mmenunua na nin? Akaanguka akazimia
 
Mi ya mwanangu ina watoto 246 ilipata tsh 146000 nkamuuliza ticha mbona zinaishia kwenye chaki tu na red pen? Andalio mmenunua na nin? Akaanguka akazimia
Hizo pesa zilitakiwa zije kwa muhula, yaani miezi sita au angalau mitatu mitatu, sio mwezi mmoja! Shule nyingi hizo pesa bado ziko benki hawajuwi wanunue nini waache nini!
 
U
Shule anayosoma mwanangu, tulikubaliana (sisi wazazi) tuchangie pesa kwa ajili ya kumlipa mlinzi, thubuuutu, mwalimu mkuu alikataa kata kata, kisa, wamepigwa mkwara kuchangisha wazazi chochote kile, hata kama wazazi wenyewe wataridhia. Ndo mjue huu utawala wa Magufuli ni wa ajabu sana. Yaani pesa zinazopelekwa shuleni hazitoshelezi matumizi, wazazi wakitaka kuchangia ili mambo yaende, mwalimu anafukuzwa. Mi nadhani lengo lao ni kudumaza wanafunzi ili kuwe na kizazi kisichojitambua ili CCM itawale milele. Kwa maana ukitaka uwe adui wa CCM, elimika vya kutosha.
Ukishaingia u ccm na uchadema mambo yanaharibika utaifa unafutika, uzalendo unayeyuka! Rais Magufuli ameingia madarakani akiwa na nia ya kutaka kurekebisha mambo mengi yaliyoharibika ikiwemo Elimu. Ninaamini kwamba kama zingekuwepo fedha za kutosha asingesita kuagiza zielekezwe sehemu zilizo na upungufu. Pia, waziri wa Elimu Watanzania wengi wanamkubali kwamba anao uwezo wa kusimamia mageuzi katika elimu nchini. Inasikitisha kuona ndani ya miezi mitatu tu ya awamu ya 5 watu wanataka mambo yabadilike. Magufuli ameonyesha nia njema, jukumu letu in kumpa muda na ushirikiano ili juhudi zake za kutuletea maendeleo zizae mtunda.
 
Shule anayosoma mwanangu, tulikubaliana (sisi wazazi) tuchangie pesa kwa ajili ya kumlipa mlinzi, thubuuutu, mwalimu mkuu alikataa kata kata, kisa, wamepigwa mkwara kuchangisha wazazi chochote kile, hata kama wazazi wenyewe wataridhia. Ndo mjue huu utawala wa Magufuli ni wa ajabu sana. Yaani pesa zinazopelekwa shuleni hazitoshelezi matumizi, wazazi wakitaka kuchangia ili mambo yaende, mwalimu anafukuzwa. Mi nadhani lengo lao ni kudumaza wanafunzi ili kuwe na kizazi kisichojitambua ili CCM itawale milele. Kwa maana ukitaka uwe adui wa CCM, elimika vya kutosha.
Nimegundua akili yako ni ndogo sana, unajua tufikie mahala tuachane na siasa na hili limekuwa donda ndugu kwa watz, kwa hali hiyo unataka kunambia kwamba UKAWA ni mbumbumbu kabisa? make unavosema ccm haitaki watu waelimike, je akina Tundu Lisu na wenzake wao wamesoma wapi? acha hizo bro!
 
Tangu walimu wakuu na wale wa taaluma wazuiliwe kuchangisha wazazi ni kuweweseka tu. Tunaelewa shida iko wapi, ila soon mtaelewa tu
 
tanzagiza duuh!!

Muongozo wa wadau kwa maana ya wazazi kuchangia iko wazi. Kilichofutwa ni michango yote ,yote, Inayowazuia watoto kusoma.. Wadau hawajakatazwa kuboost mazingira ya elimu kwa watoto wao.
Acheni kupotosha.











enyewe wataridhia. Ndo mjue huu utawala wa Magufuli ni wa ajabu sana. Yaani pesa zinazopelekwa shuleni hazitoshelezi matumizi, wazazi wakitaka kuchangia ili mambo yaende, mwalimu anafukuzwa. Mi nadhani lengo lao ni kudumaza wanafunzi ili kuwe na kizazi kisichojitambua ili CCM itawale milele. Kwa maana ukitaka uwe adui wa CCM, elimika vya kutosha.

Acheni kusambaza ujinga. Mion[/QUOTE]

Michango yote hata kama wazazi wameridhia imezuiwa, labda kama wazazi watachangishana bila kumshirikisha mkuu wa shule, haujasikia mkurugenzi kaondolewa kisa michango?
 
Back
Top Bottom