Elimu bure hakuna, Serikali imekurupuka

Hivi unapopiga uongo na ukijua kabisa unapiga uongo na kufanya majungu moyoni unajisikiaje? Hiyo shule mahitaji yake ya mwezi kabla ya elimu bure uliyafahamu? Hiyo shule ina wanafunzi wangapi? Hiyo shule gharama zake za uendeshaji ni shilingi ngapi kwa mwezi? Siyo kubwabwaja tu kama hayawani ili mradi useme, sema mambo yenye mantiki na uliyoyafanyia uchunguzi wa kina si kuendeshwa na hamu ya kuona jitihada zinashindwa
 
Siku zote wachawi ni adui wa maendeleo. Wachawi kama huyu mleta mada hawastahili hata kuishi. Ni wale ambao kwa mikoa ya wenzetu wanaangamizwa huku wanajiona
punguza gongo we jamaa shule zimegawiwa pesa kulingana na mahitaji yao sasa unapopinga kuwa hata na uthibitisho wa unayo pinga.
 
Soma.post #59
 
Dah! Kuna watu wanakurupuka sana. Sijui huyu mleta mada kaandika wakati amepakatwa au ameinama! Yaani nawaza tu wadau.

jamani kumbukeni hizo hela zinatolewa fidia ya ada kwa idadi ya wanafunzi hivyo msikimbilie kushutumu huenda ni kweli kama shule hiyo inawanafunzi wachache
 
Mlitaka na za chai ofisini

Nenda kanywe kwako
 
EBANA MIMI SIJAWA MKALI NIMEULIZA NIPEWE MCHANGANUO, MIMI NAPENDA MTU AKILETA HOJA YAKE AILETE AKIWA AMEIFAFANUA VIZURI, SIO KUPOST KWA KIFUPI KAMA ALIVYOFANYA, AKIPOST HIVYO BASI ATEGEMEE MASWALI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…