MaskiniiiNashauri lowassa atafutwe asaidie jahazi maana ndo ilikuwa ajenda yake
acha tu.wataanza kuwaomba wananchi jamani tuchangie elimu.japo kidogo.maana me niliwaza kuzaa na wife kama watoto 9 hivi shule bure.lkn nikipiga hesabu.atakae kuja baadae.Shule za umma nchini (msingi na sekondari) zimeelekezwa kwa waraka na. 5 wa mwaka 2015 kutoa elimu BUREEE pamoja na nia thabiti jambo hili limefanywa kwa mhemko wa kisiasa.
Maana ruzuku toka serikali kwa shule husika ni kichekesho cha karne. Wazazi wameelekezwa kutotoa mcahngo wa aina yoyote, mfano shule ya Msingi kihagara, kijiji anachotoka Naibu Waziri wa ELIMU (wilaya ya Nyasa, mkoa wa Ruvuma) imepewa 150,000/=TUTAFIKA?