ELEWA kuhusu HESLB.

Mkuu, umetoa somo zuri, ila system ya sasa hivi sio ya zamani. Sasa hivi hamna kitu kinaitwa %. Matokeo yanatoka kwa kuonyesha umepewa kiasi gani na baadaye wanatoa loans breakdown kukuonyesha wamekugawanyishia. NON PRIORITY na PRIORITY zinahusika sasa, maana kuna program zimepewa kipaumbele zaidi ya nyingine. Wewe wape moyo tu, ngoja muone mautumbo ya HESLB

Mkuu hebu dadavua kiundani zaidi hapo kwenye red
 
big up mkuu ila cjaelewa kuhusu hzo grades A,B,C etc yan nani anakua grade A,nani B etc

sip wote watakao pewa 100% za mikopo. kutakua na makundi maana tunatofautiana hali ya kiuchumi ndio maana kutakua na viwango tofauti vya mikopo.
 
Back
Top Bottom