Elevation

Kuna mafanikio mengine yanakuja baada ya kuoa so kadri unavyochelewa kuoa ndipo unaposogeza mbele mafanikio yako. Cha msingi upate mwenza sahihi.
Mwenza sahihi sio rahisi kumpata kama unavyofikiri, nchini nzima na dunia nzima inaonekana wamebaki 20 tu, yani awe ana mzuri na mvuto na tabia zake uzipende pia 🤔
 
Mwenza sahihi sio rahisi kumpata kama unavyofikiri, nchini nzima na dunia nzima inaonekana wamebaki 20 tu, yani awe ana mzuri na mvuto na tabia zake uzipende pia 🤔
Lazma kuna tabia mbaya moja au mbili ukubali kuzitolerate. Hakuna mwenza amekamilika kila kitu. Hapo kweli utaoa ukiwa na 60+ bwashee wa mtu.
 
Siku zote nasema, vilio vingi vya wanaume humu jf vinaanzia hapa Aaliyyah
Kunakitu ukielewa maisha hayawz kukupa shida unatakiwa ujue hakuna mkamilifu huwez kupata kila unachotak kwa mtu wako huyo mmoja iwe mwanamke au mwanaume


Unawza kuona mtu anajali sana au mwanamke supportive kwa mume ila sio mama mzuri,unaweza pata mama mzuri ila mbinafs kwenye masuala ya kifamilia hata wanaume wana upande inabid ubebe hayohayo yaliyobora na yanayokuvutia ili ufiche madhaifu mengine

Tatizo mnatak kilakitu awe mzuri awe supportive alete unga nisipoleta ajue kulea watoto awe romantic kwa mtu mmoja huyohuyo sudhni km inawezekana
 
Hayo yanavumilika , ila matatizo mengi ya ndoa na mahusiano ni usaliti na pesa ndio tatizo kuu
 
soma vizur mada mwishon
Kuna elevation na wanaostahili.
Hapo wew unazungumzia wanaostahili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…