Elevation

Elevation

Natafuta Ajira

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2020
Posts
12,128
Reaction score
33,511
Sijapata neno moja la kiswahili linaweza kuwa na maana mahususi ya neno "elevation". Kwa kingereza tunaweza tukasema "being raised to the higher or more important level or position". Kwa lugha yetu tunaweza kusema kupandishwa kwenda kwenye nafasi ya juu au ya muhimu zaidi.

Elevation, ni moja kati ya neno muhimu sana unatakiwa kuliweka akilini kama unataka kuelewa jinsi mchezo wa mahusiano unavyo-operate. Kupuuzia "elevation" kunawafanya wanaume wengi sana wapigwe na butwaa.

Sasa nataka nikwambie kitu kimoja. Akili ya mwanamke ina neno moja tu - elevation. Utakapoonyesha interest ya kumtaka tayari atakua ashapiga hesabu kama una uwezo wa ku-elevate maisha yake. Kwa mwanamke mahusiano sio feelings exchange tu, ni elevation pia.

Ulikua haujui? Ukifikiri upendo wa mwanamke ni unconditional? Nani alikufundisha hivyo? Kiongozi wako wa dini?. That's the problem, you like listening to fairy stories.

Upendo wa mwanamke kwenye sekta ya mahusiano ni conditional. Labda kama unataka urafiki wa kawaida tu, that can work without conditions.

A woman's mind has no room for sympathy. If you're a man who struggling financially she will not even look your way, unless she assess that your struggle is temporary. She can hang in there with you, it's because she calculate the potential. Although, she can leave if she see no progress.

Tatizo wengi tangu mkiwa wadogo mmekalilishwa blah blah za pure love, sijui soul mates na upumbavu mwingine. Kijana hakuna upuuzi kama huo. Adults love with strategy, not fantasy.

If a woman love with calculated steps, you too should do the same. If she has nothing: no skills, no job, no money, no business, no connections, leave her. A woman cannot tolerate a liability, why should you tolerate it in her.

Don’t be a simp.
 
battle lime anza
FB_IMG_17712705520496386.jpg
 
mambo ya kutumia akili ili mwanamke akuelewe wakati wa siku ya mwisho atakuacha sio kabisa,kinachomfanya mwanaume kutumia mipango mingi kumpata mwanamke ni akili ya utamu kwanza halafu mengine huwa yanafuata baadae sasa muwe makini mnavyoanza mawindo je unampenda kwasababu ya kiburudisho au akuzalie watoto mjenge familia itakayo kuwa na furaha?, mimi naamini mwanamke kama ni wako atakua wako tu hutatumia nguvu,yani sumaku huvuta chuma
 
mambo ya kutumia akili ili mwanamke akuelewe wakati wa siku ya mwisho atakuacha sio kabisa,kinachomfanya mwanaume kutumia mipango mingi kumpata mwanamke ni akili ya utamu kwanza halafu mengine huwa yanafuata baadae sasa muwe makini mnavyoanza mawindo je unampenda kwasababu ya kiburudisho au akuzalie watoto mjenge familia itakayo kuwa na furaha?, mimi naamini mwanamke kama ni wako atakua wako tu hutatumia nguvu,yani sumaku huvuta chuma
Point.
 
mambo ya kutumia akili ili mwanamke akuelewe wakati wa siku ya mwisho atakuacha sio kabisa,kinachomfanya mwanaume kutumia mipango mingi kumpata mwanamke ni akili ya utamu kwanza halafu mengine huwa yanafuata baadae sasa muwe makini mnavyoanza mawindo je unampenda kwasababu ya kiburudisho au akuzalie watoto mjenge familia itakayo kuwa na furaha?, mimi naamini mwanamke kama ni wako atakua wako tu hutatumia nguvu,yani sumaku huvuta chuma
Suala la kununua hilo halina haja ya kuumiza kichwa ni kuweka dau mezani tu. Lakini suala la kuje ga meaningful relationship ni ukweli usiopingika in most cases kwa sababu ya kipato wengi tunaishia ku-settle na second option.

Wanaume huwa tunachelewa kidogo kuwa thamani kubwa kwenye dating pool kwa sababu factors zinazotupa thamani ambazo ni finance and stability zinahitaji muda kuzifikia.

Mwanamke anaingia kwenye dating pool akiwa tayari ni ready-made. Sasa hapo ndipo kunakua na mgongano. Analazimika ku-settle na mwanaume ambaye tayari ana factor zinazompa thamani yaani finance and stability, sio mwanaume ambae anaependana nae.

Na yule mwanaume anaependana nae baada ya miaka kadhaa hustle zake zikijibu akishakua na hizo factors za finance and stability ata-settle na mwanamke mwingine.

Kwaiyo in most cases suala la kusema kama mnapenda mtaishia kuwa pamoja linakua limekaa ki-fairystory zaidi
 
Nasubiri kusikia Jadda, Dr. Mariposa and binti kiziwi on the beat, let's go 🔥😁
It’s valid.. Sababu mwanamke usipokuwa elevated na mwanaume jua kwenye hilo game wewe umelost!

Wanawake tunajenga familia, don’t you think we deserve some elevation huh. 🤔

Siku tukijua ndoa/mahusiano yanamfaidisha zaidi mwanaume wanawake tutazidisha maringo.
 
It’s valid.. Sababu mwanamke usipokuwa elevated na mwanaume jua kwenye hilo game wewe umelost!

Wanawake tunajenga familia, don’t you think we deserve some elevation huh. 🤔

Siku tukijua ndoa/mahusiano yanamfaidisha zaidi mwanaume wanawake tutazidisha maringo.
Ila kuna wanawake wanaostahili na wengine ni parasites tu 🤔
 
Back
Top Bottom