Naombeni msaada.
Nina motor ya 20HP ambayo nimeifunga katika kinu cha kusaga lakini motor hii imenisumbua sana. Kwanza nilikuwa natumia star delta starter lakini consumption ya umeme ikawa kubwa mno.
Nika consult mafundi na baada za kufunga amper meter tukagundua ya kuwa hakuna tofauti kati ya starting na running current,iko juu all the time. Fundi akaifungua na akadai ya kuwa kuna sehemu inagusa case na akasugua na msasa lakini baada za kuifunga ngoma ikawa hivyo hivyo.
Next day fundi akadai kuwa inawezekana ilikosewa kiwandani na akaifunga star na consumption ya umeme ikad drop mno,inaanza na 33 ampere na bila load inashuka mpaka 7 ampere.
Nilifurahi kuwa problem imekuwa solved lakini cha ajabu ni kuwa inapata moto mpaka unga ukiangukia juu yake inatoa moshi.Kwa uzoefu wangu joto inalopata ingekuwa motor ingine ingeungua lakini si kwa hii.
Tumekagua kuwa labda kuna lose connection lakini hatukuona na pia tu mecheck earthing system na kwa utaalamu wa mafundi wangu wanasema ni nzuri. Kwa kuwa nafanya biashara mapato per unit consumed ndio kigezo changu kikibwa na muda wote huu kipato kipo chini.
Nisaidieni wataalamu.
Nina motor ya 20HP ambayo nimeifunga katika kinu cha kusaga lakini motor hii imenisumbua sana. Kwanza nilikuwa natumia star delta starter lakini consumption ya umeme ikawa kubwa mno.
Nika consult mafundi na baada za kufunga amper meter tukagundua ya kuwa hakuna tofauti kati ya starting na running current,iko juu all the time. Fundi akaifungua na akadai ya kuwa kuna sehemu inagusa case na akasugua na msasa lakini baada za kuifunga ngoma ikawa hivyo hivyo.
Next day fundi akadai kuwa inawezekana ilikosewa kiwandani na akaifunga star na consumption ya umeme ikad drop mno,inaanza na 33 ampere na bila load inashuka mpaka 7 ampere.
Nilifurahi kuwa problem imekuwa solved lakini cha ajabu ni kuwa inapata moto mpaka unga ukiangukia juu yake inatoa moshi.Kwa uzoefu wangu joto inalopata ingekuwa motor ingine ingeungua lakini si kwa hii.
Tumekagua kuwa labda kuna lose connection lakini hatukuona na pia tu mecheck earthing system na kwa utaalamu wa mafundi wangu wanasema ni nzuri. Kwa kuwa nafanya biashara mapato per unit consumed ndio kigezo changu kikibwa na muda wote huu kipato kipo chini.
Nisaidieni wataalamu.