Electrical engineers nisaidieni

MIGNON

JF-Expert Member
Nov 23, 2009
4,083
5,066
Naombeni msaada.

Nina motor ya 20HP ambayo nimeifunga katika kinu cha kusaga lakini motor hii imenisumbua sana. Kwanza nilikuwa natumia star delta starter lakini consumption ya umeme ikawa kubwa mno.

Nika consult mafundi na baada za kufunga amper meter tukagundua ya kuwa hakuna tofauti kati ya starting na running current,iko juu all the time. Fundi akaifungua na akadai ya kuwa kuna sehemu inagusa case na akasugua na msasa lakini baada za kuifunga ngoma ikawa hivyo hivyo.

Next day fundi akadai kuwa inawezekana ilikosewa kiwandani na akaifunga star na consumption ya umeme ikad drop mno,inaanza na 33 ampere na bila load inashuka mpaka 7 ampere.

Nilifurahi kuwa problem imekuwa solved lakini cha ajabu ni kuwa inapata moto mpaka unga ukiangukia juu yake inatoa moshi.Kwa uzoefu wangu joto inalopata ingekuwa motor ingine ingeungua lakini si kwa hii.

Tumekagua kuwa labda kuna lose connection lakini hatukuona na pia tu mecheck earthing system na kwa utaalamu wa mafundi wangu wanasema ni nzuri. Kwa kuwa nafanya biashara mapato per unit consumed ndio kigezo changu kikibwa na muda wote huu kipato kipo chini.
Nisaidieni wataalamu.
 
Yaani wahandisi wote wanaishia kwenye siasa na habari mchanganyiko.Yaani mpaka saa hizi hakuna engineer alizepita hapa?
 
Yaani wahandisi wote wanaishia kwenye siasa na habari mchanganyiko.Yaani mpaka saa hizi hakuna engineer alizepita hapa?
hahahaha

Si unaona hata kwenye siasa ndipo walipo ma engeeer. Na hata bungeni wapo wengi wanatunga sheria.

Mimi si mtaaalama wa haya mambo laini kwa uwa wewe ni mtaalama najua uitumia maneo sahihi gogle utapata jibu naunaweza kuja kutupa somo hapa

Mfano nime google nikakutana na hii white paper Choice f elecrtical motor avoid overheating



Kwenye hii article nimeona kihindi hindi laini kwenye
Subheading ya PWM and motor Heating wewe unayju zaidi mmbo haya labda kuna jambo laweza kukupa jibu.



 
MTAZAMAJI niliogopa kusema wanaishia kweye "mahusiano na Mapenzi" hata hivzo nashukuru kwa ushauri wako.
Nimeipitia website ulyoshauri na wameeleza vizuri ingawa reference zao ni motor za HP kubwa sana.
Nilipenda sana ku solve hii problem kupitia watu walio na uzoefu zaidi kuliko theories kwani hata wiring zetu tunazofanyiwa si za kiwango.
 
Yaani wahandisi wote wanaishia kwenye siasa na habari mchanganyiko.Yaani mpaka saa hizi hakuna engineer alizepita hapa?

kwa kukusaidia jaribu huyu expert ni electrical technician alistaafu urafiki textile miaka ya karibuni sasa hivi anafanya kazi za kujiajiri.anazijua mota kama kiganja chake namba yake ya simu ni 0756177615. anaitwa Hokororo.
 
Mie sio Electrician lakini ninajua kodogo kuhusu umeme.
1. Angalia Fan la motor kama linafanya kazi vizuri na linasukuma upepo sawasawa
2. Angalia motor Fins - mifereji au matuta yalyoko juu ya motor kama yamejaa unga au uchafu. hii inaweza kuzuia upepo kuipoza motor vizuri.
3. Inawekekana kinu chako ni kikubwa kuliko uwezo wa motor yako. Angalia amperes unaposaga kama hizi zipo chini ya kiwango zinazo ruhusiwa na motor.
4. Ondoa mikanda na uishughulihe motor , angalia ampere zinazotumika ikiwa ni kubwa basi tatizo ni kwenye motor, pia iache kwa muda ishughulike bila mikanda na angalia kama inapata moto au la.
5. Tafuta mtaalam afanye winding resistance check.

Basi ni hayo tu nimefikiria - lakini unavyosema hilo joto mpaka linachoma unga ukianguka juu yake - nini mashaka kama itadumu muda - sababu winding zitaharibika baada ya muda.
 
Naombeni msaada.
Nina motor ya 20HP ambayo nimeifunga katika kinu cha kusaga lakini motor hii imenisumbua sana.
Kwanza nilikuwa natumia star delta starter lakini consumption ya umeme ikawa kubwa mno.
Nika consult mafundi na baada za kufunga amper meter tukagundua ya kuwa hakuna tofauti kati ya starting na running current,iko juu all the time.
Fundi akaifungua na akadai ya kuwa kuna sehemu inagusa case na akasugua na msasa lakini baada za kuifunga ngoma ikawa hivyo hivyo.
Next day fundi akadai kuwa inawezekana ilikosewa kiwandani na akaifunga star na consumption ya umeme ikad drop mno,inaanza na 33 ampere na bila load inashuka mpaka 7 ampere.
Nilifurahi kuwa problem imekuwa solved lakini cha ajabu ni kuwa inapata moto mpaka unga ukiangukia juu yake inatoa moshi.Kwa uzoefu wangu joto inalopata ingekuwa motor ingine ingeungua lakini si kwa hii.
Tumekagua kuwa labda kuna lose connection lakini hatukuona na pia tu mecheck earthing system na kwa utaalamu wa mafundi wangu wanasema ni nzuri.
Kwa kuwa nafanya biashara mapato per unit consumed ndio kigezo changu kikibwa na muda wote huu kipato kipo chini.
Nisaidieni wataalamu.

nipe kazi rasmi ifanyike.
 
The load is too heavy for the mator, check the motor ratings and either install the bigger motor or reduce the driven loads!
 
Kama kazi inayofanya ni kuendesha kinu cha kusaga ni lazima iwe delta ili iweze kufanya kazi sawa sawa.

Star inaokoa umeme lakini motor haiwezi kutengeneza enough uotput power, matokeo ndio hayo ukiwa under load lazima utapata over heat

Hapo kwenye delta ambapo tatizo ni over consumption, kuna mambo ya kuangalia ambayo ni

1. Hakikisha unatumia contactors nzuri (best quality) na ziwe 60A

2. Hakikisha phase zako zote ziko na kiwango sawa cha voltage (kama kutakua na phase ina under voltage inabidi ushughulikie hili kwanza. Pima individual phases na neutral sio phase na phase)

3. Hakikisha motor cooling fan inafanya kazi sawa sawa

4. Hakikisha power cable zako zote tokea kwenye circuit breaker ni 16mm

Hayo yakiwa sawa kwa vyovyote tatizo lako litaisha


Naombeni msaada.

Nina motor ya 20HP ambayo nimeifunga katika kinu cha kusaga lakini motor hii imenisumbua sana. Kwanza nilikuwa natumia star delta starter lakini consumption ya umeme ikawa kubwa mno.

Nika consult mafundi na baada za kufunga amper meter tukagundua ya kuwa hakuna tofauti kati ya starting na running current,iko juu all the time. Fundi akaifungua na akadai ya kuwa kuna sehemu inagusa case na akasugua na msasa lakini baada za kuifunga ngoma ikawa hivyo hivyo.

Next day fundi akadai kuwa inawezekana ilikosewa kiwandani na akaifunga star na consumption ya umeme ikad drop mno,inaanza na 33 ampere na bila load inashuka mpaka 7 ampere.

Nilifurahi kuwa problem imekuwa solved lakini cha ajabu ni kuwa inapata moto mpaka unga ukiangukia juu yake inatoa moshi.Kwa uzoefu wangu joto inalopata ingekuwa motor ingine ingeungua lakini si kwa hii.

Tumekagua kuwa labda kuna lose connection lakini hatukuona na pia tu mecheck earthing system na kwa utaalamu wa mafundi wangu wanasema ni nzuri. Kwa kuwa nafanya biashara mapato per unit consumed ndio kigezo changu kikibwa na muda wote huu kipato kipo chini.
Nisaidieni wataalamu.
 
Kama kazi inayofanya ni kuendesha kinu cha kusaga ni lazima iwe delta ili iweze kufanya kazi sawa sawa.

Star inaokoa umeme lakini motor haiwezi kutengeneza enough uotput power, matokeo ndio hayo ukiwa under load lazima utapata over heat

Hapo kwenye delta ambapo tatizo ni over consumption, kuna mambo ya kuangalia ambayo ni

1. Hakikisha unatumia contactors nzuri (best quality) na ziwe 60A

2. Hakikisha phase zako zote ziko na kiwango sawa cha voltage (kama kutakua na phase ina under voltage inabidi ushughulikie hili kwanza. Pima individual phases na neutral sio phase na phase)

3. Hakikisha motor cooling fan inafanya kazi sawa sawa

4. Hakikisha power cable zako zote tokea kwenye circuit breaker ni 16mm

Hayo yakiwa sawa kwa vyovyote tatizo lako litaisha
Nakushukuru sana ingawa tayari niilsha solve hiyo problem palikuwa na lose connection somwhere.
Thanks a lot,usicheze mbali na JF
 
Back
Top Bottom