Electric shock kwenye vifaa vya umeme

Electric shock kwenye vifaa vya umeme

Felixtz

Member
Joined
Oct 19, 2015
Posts
55
Reaction score
17
Habari zenu wadau, Nina tatizo katika vifaa vyangu vya umeme (woofer na desktop), vifaa hivi vikiguswa vinachapa mtu shoti pale vinapofanya kazi. Mwenye ujuzi wa umeme anisaidie tatizo linaweza kuwa wapi.
 
Hakikisha vifaa vyako unatumia waya wenye njia 3.

Hakikisha wiring yako ina Earth connection iliyo hai.

Mkuu wiring ilifanyika na nyaya zipo mbili tu, na vp Sasa hyo earth wire inaekwa VP mkuu.
 
Pole kwa tatizo lako mkuu
Hapo kuna kosa limefanyika

Sababu ni kama ifuatavyo
Huenda live waya umegusa moja ya earth
Au huenda earthing system yako haijakaa sawa
Yaan haija ground au neutral waya kuna sehem ime kitana na earth
Je una testa
 

Attachments

  • IMG_4207.jpg
    IMG_4207.jpg
    22.3 KB · Views: 9
Habari zenu wadau, Nina tatizo katika vifaa vyangu vya umeme (woofer na desktop), vifaa hivi vikiguswa vinachapa mtu shoti pale vinapofanya kazi. Mwenye ujuzi wa umeme anisaidie tatizo linaeza kua wapi.
Mwite fundi akuangalizie earth road ina lick au haifanyi kazi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari zenu wadau, Nina tatizo katika vifaa vyangu vya umeme (woofer na desktop), vifaa hivi vikiguswa vinachapa mtu shoti pale vinapofanya kazi. Mwenye ujuzi wa umeme anisaidie tatizo linaeza kua wapi.
Earthing system itakuwa na changamoto, badala ya kuzika umeme inarudisha kwenye casing za vifaa

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Pole kwa tatizo lako mkuu
Hapo kuna kosa limefanyika

Sababu ni kama ifuatavyo
Huenda live waya umegusa moja ya earth
Au huenda earthing system yako haijakaa sawa
Yaan haija ground au neutral waya kuna sehem ime kitana na earth
Je una testa
Eart wire ikigusana na neturo circuit break itajioff labda breaker iwe haifanya kazi.
Hapo earth ina shida haifanyi kazi ndio maana akigusa kama kaloa miguu au yuko peku anafinywa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole kwa tatizo lako mkuu
Hapo kuna kosa limefanyika

Sababu ni kama ifuatavyo
Huenda live waya umegusa moja ya earth
Au huenda earthing system yako haijakaa sawa
Yaan haija ground au neutral waya kuna sehem ime kitana na earth
Je una testa

Bro earth wire haipo, Kuna tu nyaya mbili live na neutral.

Testa ninayo ndio mkuu.
 
Eart wire ikigusana na neturo circuit break itajioff labda breaker iwe haifanya kazi.
Hapo earth ina shida haifanyi kazi ndio maana akigusa kama kaloa miguu au yuko peku anafinywa

Sent using Jamii Forums mobile app

na pia ni lazima either earth au neutral moja wapo iwe na moto ndio CB itrip. Kumbuka earth na neutral ni kitu kimoja
 
Wiring kwangu imefanyika na nyaya mbili tu mkuu (live na neutral)
Je uyo fundi ndio aliyekushauri utumie waya mbili ama bajeti yake ndio ilikomea hapo,Ethi waya inaumuhimu sana kwenye nyumba,
 
Je uyo fundi ndio aliyekushauri utumie waya mbili ama bajeti yake ndio ilikomea hapo,Ethi waya inaumuhimu sana kwenye nyumba,

Nyumba niliyopo nlikuta wiring ishafanyika.

Na vp mkuu hiyo earth inawekwa vipi coz kwenye socket Kuna hole ipo (apart from Ile ya live na neutral) iv Kama ni ya earth, wire ikaunganishwa hapo then inaelekezwa wap Sasa.
 
Nyumba niliyopo nlikuta wiring ishafanyika.

Na vp mkuu hiyo earth inawekwa vipi coz kwenye socket Kuna hole ipo (apart from Ile ya live na neutral) iv Kama ni ya earth, wire ikaunganishwa hapo then inaelekezwa wap Sasa.
Kisheria inatakiwa pale palipo na main switch kunatakiwa kuwe na waya tatu,kuwe na nyekundu,kuwe na waya mweusi na watatu ni kijani,izi waya mbili nyekundu na nyeusi zinakompea na zile waya zinazotoka tanesco,halafu ule wa tatu ambao ni kijana unatakiwa wewe ndio unautolea kwenye nyumba halafu chini unatangulizia chuma ambacho kinatakiwa kiwe Copper/shaba ili kikinzane chini ardhini,hapo unakuwa nyumba umeiweka sehemu salama salimini endapo itapiga radi ya mvua basi inajisensi kwenda chini ardhini na baadhi ya vifaa vinabakia kwenye usalama wake,hadi hapo utakuwa umeshaelewa.
(Kwa wenzetu nchini South Africa wao shirika laUmeme kule ndio wanaokuletea waya tatu yaani inakuwa live waya,neutro na ethi lakini nchini kwetu Tanzania kutokana umasikini wetu ndio wao wanakuletea waya 2 na ethi ujiwekee mwenyewe)
 
[halafu ule wa tatu ambao ni kijana unatakiwa wewe ndio unautolea kwenye nyumba halafu chini unatangulizia chuma ambacho kinatakiwa kiwe Copper/shaba ili kikinzane chini ardhini
[/QUOTE]

So unamaanisha kuwa earth wire itaunganishwa kutoka kwenye hole iliyowazi katika socket then inachimbiwa kwenye ground au
 
Back
Top Bottom