Kisheria inatakiwa pale palipo na main switch kunatakiwa kuwe na waya tatu,kuwe na nyekundu,kuwe na waya mweusi na watatu ni kijani,izi waya mbili nyekundu na nyeusi zinakompea na zile waya zinazotoka tanesco,halafu ule wa tatu ambao ni kijana unatakiwa wewe ndio unautolea kwenye nyumba halafu chini unatangulizia chuma ambacho kinatakiwa kiwe Copper/shaba ili kikinzane chini ardhini,hapo unakuwa nyumba umeiweka sehemu salama salimini endapo itapiga radi ya mvua basi inajisensi kwenda chini ardhini na baadhi ya vifaa vinabakia kwenye usalama wake,hadi hapo utakuwa umeshaelewa.
(Kwa wenzetu nchini South Africa wao shirika laUmeme kule ndio wanaokuletea waya tatu yaani inakuwa live waya,neutro na ethi lakini nchini kwetu Tanzania kutokana umasikini wetu ndio wao wanakuletea waya 2 na ethi ujiwekee mwenyewe)