The Evil Genius
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 6,002
- 19,468
Jarida la independent limeorodhesha majina 50 ya watu wenye nguvu na ushawishi mkubwa duniani.
Cha ajabu katika orodha hiyo Bw. Guzman ambae ndie kiongozi wa mtandao wa wauza madawa ya kulevya huko mexico na ambae alitoroka jela mwezi wa 7 yumo.
Unaweza kujisomea mwenyewe hiyo orodha hapa chini.
http://www.independent.co.uk/news/business/power-list-2015-the-50-most-influential-people-in-the-world-a6738851.html
Cha ajabu katika orodha hiyo Bw. Guzman ambae ndie kiongozi wa mtandao wa wauza madawa ya kulevya huko mexico na ambae alitoroka jela mwezi wa 7 yumo.
Unaweza kujisomea mwenyewe hiyo orodha hapa chini.
http://www.independent.co.uk/news/business/power-list-2015-the-50-most-influential-people-in-the-world-a6738851.html