Mamndenyi
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 40,598
- 52,296
Hali zenu wana bodi,
Naleta kwenu tangazo la kuuza eka moja ambayo
ipo kibaha kwa matias. Ni mkono wa kushoto kama
unakwenda morogoro. ni jirani na makao makuu ya chuo kikuu huria.
eneo lina hata miliki ya kijiji tu. Bei ni nzuri
endapo unapenda please ni -PM.
Mkuu bei ni 8m/=
Naleta kwenu tangazo la kuuza eka moja ambayo
ipo kibaha kwa matias. Ni mkono wa kushoto kama
unakwenda morogoro. ni jirani na makao makuu ya chuo kikuu huria.
eneo lina hata miliki ya kijiji tu. Bei ni nzuri
endapo unapenda please ni -PM.
Mkuu bei ni 8m/=