inaitwa squeeze technique. igoogle kwa maelezo zaidi. haiogopeshi kama unavyodhani na pia watu wengi ni waumini wa puli kwa hiyo ni wakati wa kuiput into good use.duuuuh hii kali????????????????
Kumbuka fantasy yako! Itumie!
Imagine kama unashindana na huyo mwenzio, mdharau kimoyo moyo, kuwa hawezi kukushinda waweza muita **** kimoyo moyo au tusi lolote, jiambie that u want to enjoy n nothing else, be selfish for a while, amini usiamini itawork na mwenzio ataenjoy tu!
Nenda ujaribu halafu utuletee majibu
duh watu mnashindwa tu kuwa waganga! eeh unafanyaje? unakunywa? unapaka? au unatumbukiza kwenye kikombe cha maziwa mgando? funguka zaidi
Wakuu,nataka kuuliza hivi ni kweli maziwa mgando yanazuia kumwaga shahawa mapema naomba kujua ilo wenyeji wangu.
Watanzania bwana.... 99 asilimia ya mawazo yetu ni ngono na zinaa
Watanzania bwana.... 99 asilimia ya mawazo yetu ni ngono na zinaa#WATU WANATAFUTA HISHMA!KTK MAMBO HAYA WHICH IS PROPER MADICATION FOR DELAY EJACUL /PEOPLE WANTS TO SAVE ENERGY, 1 GOAL 1 HOUR
Jicho Tai nilidhani unaona zaidi juliko wengine kumbe la. Kijana anaomba msaada kuona je mtindi unasaidia kudelay ejaculation? Amesikia mahali hivyo anatafuta uthibitisho. Mthibitishie kama unajua ukweli.