Eid Mubarak wote

Asante

Ila tuagizie hata k vant mama ili Eid ikae sawa sio unakula peke yako
 
Pole kwa kukosa mwaliko mheshmiwa. Tunasubir Kwa moyo mmoja mwaliko wako wa Pasaka πŸ™πŸΎ
 
Nahisi ni kutofuatilia siasa
Siku zote najua huyu member ana undugu na Gwajima yule pasta sijui

Pole Ngoja nikusaidie kama sitokuwa sawa Nitakosolewa.

1. Huyu Mama ni waziri alikuwa Afya Sasa ni Maendeleo ya Jamii ni Daktari MD( wa hospital)
Mbunge wa kuteuliwa wa JPM.

2. Mume wake ni Mwana sheria Advocate Gwajima. Ni Kaka wa Askofu Josephat Gwajima mbunge wa Jimbo la kawe.

3. Hawa wako poa sana ni Moja kati ya Cople bora sana kwa nje ila ya ndani siyajui.


Mama Naomba Msaada Ile ishu ya Dokta Donard Mbando.
 

Asante mkuu kwa maelezo
Hata huyu waziri mwenyewe imebidi nimgoogle sasa hivi ili nimuone sura yake vizuri kwasababu huwa namsikia mara chache hapa jukwaani...huku duniani sijawahi kuwa circle inayomuongelea kabisa,nafikiri ndio maana simjui
 
Mama kwa jinsi tunavyokukubali tulitegemea ungetualika nyumbani kwako tujumuike pamoja kula sikukuu ya mtume wetu, huku tukitafakari mustakabali mzima wa jamii yetu na hawa kataa ndoa..!!

Kwahiyo mpo beach na baba? 😜
Kataa ndoa wameingiaje hapa
 
Hujambo? Ishu gani tena? Njoo sms 0765345777 unipe kwa ufupi maana sijakumbuka tafadhali
 
I dare say, this mama can make a good president! Mu anasikiliza na ku dgest issues...
 
Yashapita tumekusamehe tugange yajayo..!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…