Kwa haraka haraka kama saba tu šTupo wangapi aysee
Kwa haraka haraka kama saba tu šTupo wangapi aysee
iko pande zipi hiiTukutane jioni triple 7.
watanzania haswa wana jf particularly wale wa jukwaa pendwa MMU wote ni nduguHiyo sherehe hainihusu
shimoni kivipi mkuu!Hauogopi shimoni
ni nini mbaya kwakoMubarak wa Idd
ni nini mbaya kwako
mkuu umefanya nifurahi ulivyocommentNa wewe pia mkuu,ila kututakia heri bila kutuwezesha kiuchumi haisaidii
Asante sana.. Pamoja naweMMU ni kifupisho cha mapenzi,mahusiano na urafiki mimi nimebase kwenye kipengele cha urafiki hivyo basi nyie kama marafiki zangu basi ndio maana nawatakia eid mubarak na pia nakaribisha mialiko kutoka kwenu.Thread is over!
pamoja sana daktari bingwa wa tiba asiliAsante sana.. Pamoja nawe
[emoji123][emoji123][emoji91][emoji298][emoji23][emoji23][emoji23]pamoja sana daktari bingwa wa tiba asili
shimoni kivipi mkuu!
ha ha ha hamkuu umefanya nifurahi ulivyocomment
nitumie namna ya kukurushia muamala!ha ha ha ha
mbona yule bilionea alivyotekwa hukudhihirisha ubingwa wako kwenye profession yako?[emoji123][emoji123][emoji91][emoji298][emoji23][emoji23][emoji23]
Sikupewa tendambona yule bilionea alivyotekwa hukudhihirisha ubingwa wako kwenye profession yako?
mahali ulibuki ndio pale yani ulipaswa ufanye underground movement mwisho wa cku unatangaza kwamba muhusika yupo kwako bukheri wa afyaSikupewa tenda