Eicher na Tata Bus

Eicher na Tata Bus

upeo

JF-Expert Member
Joined
Jun 10, 2013
Posts
369
Reaction score
222
wakuu habari zenu , kama kichwa cha habari hapo juu .naomba munieleweshe kuhusu hizi bus za india uzuri wake na ubaya wake kwani sasa hivi nipo india nimeziona na bei zake sio mbaya , nimeingiwa na hamu kuchukua je wakuu spea zake zipo na vipi umazubuti wake unaridhisha asanteni wakuu
 
wakuu habari zenu , kama kichwa cha habari hapo juu .naomba munieleweshe kuhusu hizi bus za india uzuri wake na ubaya wake kwani sasa hivi nipo india nimeziona na bei zake sio mbaya , nimeingiwa na hamu kuchukua je wakuu spea zake zipo na vipi umazubuti wake unaridhisha asanteni wakuu
Ungeanza kuulizia huko ingependeza zaidi.
 
Huku zinabamba sana,obvious zitakuwa zinatengenezeka.
 
Bei za gari kwa walio Duniani sio mbaya
Ila kwa wale walioko pembezoni mwa Duniani n balaaa , Ila usije kuitelekeza bandarini
TATA iko Imara
TATA wana branch Arusha na DSM kama sikosei.
 
Bei za gari kwa walio Duniani sio mbaya
Ila kwa wale walioko pembezoni mwa Duniani n balaaa , Ila usije kuitelekeza bandarini
TATA iko Imara
Tena kwa wakati hu ambao tunajenga SGR na Stlinger.... kwa hera zetu za ndani na kipato peke kimebakia kua kodi utajutia kwanini ilienda India
 
wakuu habari zenu , kama kichwa cha habari hapo juu .naomba munieleweshe kuhusu hizi bus za india uzuri wake na ubaya wake kwani sasa hivi nipo india nimeziona na bei zake sio mbaya , nimeingiwa na hamu kuchukua je wakuu spea zake zipo na vipi umazubuti wake unaridhisha asanteni wakuu
hapa dar TATA inauzwa milion70 na lipo strong sana kuliko eicher
 
asanteni wakuu kwa ufafanuzi
 
Unawekeza 70m ili upate 150,000-200,000/- kwa siku....!
 
Kwa hyo kama anapesa inakaa bank iendelee kukaa bure tu? Bora kuwekeza kwa siku 205000 Tsh. Je kwa wiki,mwezi au mwaka na miaka ikifika 3 unauza bei poa tu. Maisha yaende mkuu
 
wakuu habari zenu , kama kichwa cha habari hapo juu .naomba munieleweshe kuhusu hizi bus za india uzuri wake na ubaya wake kwani sasa hivi nipo india nimeziona na bei zake sio mbaya , nimeingiwa na hamu kuchukua je wakuu spea zake zipo na vipi umazubuti wake unaridhisha asanteni wakuu
Bei zake huko India ni Rupees ngapi
 
Back
Top Bottom