Eheee

usiombe uingiwe na mdudu mitaa iyo........
khaaa utavua nguo pasi kupenda
 
Kakuta big g haipo huyo....huoni alivotoa macho!!!!!
 
Maskini weeeee sijui kapatwa na nini jamani???
 
usiombe uingiwe na mdudu mitaa iyo........
khaaa utavua nguo pasi kupenda

mimi nywele za huko kati zilishawahi kushikana nikiwa kanisani basi kila hatua nikipiga zilivutana, nilipata shida ile mbaya suluhisho nikawa sina movement yoyote.
 
mimi nywele za huko kati zilishawahi kushikana nikiwa kanisani basi kila hatua nikipiga zilivutana, nilipata shida ile mbaya suluhisho nikiwa sina movement yoyote.

Mkuu uwe unanyoaga bas
 
mimi nywele za huko kati zilishawahi kushikana nikiwa kanisani basi kila hatua nikipiga zilivutana, nilipata shida ile mbaya suluhisho nikawa sina movement yoyote.

Aisee nimecheka mpaka basi
 
mimi nywele za huko kati zilishawahi kushikana nikiwa kanisani basi kila hatua nikipiga zilivutana, nilipata shida ile mbaya suluhisho nikawa sina movement yoyote.

hahahahaaa mkuu acha kabisa asee.... usiombe vu.zi libanwe na zipu.. afu labda ndo uko kwenye mstari wa kwenda kutoa sadaka.... weeee lazima ujifanye unazimia waje kukuombea.
 
hahahahaaa mkuu acha kabisa asee.... usiombe vu.zi libanwe na zipu.. afu labda ndo uko kwenye mstari wa kwenda kutoa sadaka.... weeee lazima ujifanye unazimia waje kukuombea.

Utalipishwa kwa kumvunja mbavu ma mkwe
 
hahahahaaa mkuu acha kabisa asee.... usiombe vu.zi libanwe na zipu.. afu labda ndo uko kwenye mstari wa kwenda kutoa sadaka.... weeee lazima ujifanye unazimia waje kukuombea.
hahahaaaaaaaaaaaa,shida utakapoambiewa ufanyefanye mazoezi ya kutembea...
 
Msitu wa Udzungwa haufanyiwi marekebisho mwisho unaleta karaha :angry::angry::angry:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…