Deo Corleone
JF-Expert Member
- Jun 29, 2011
- 17,032
- 13,395
Eh Mungu Utusamehe dhambi zetu
Utukinge na moto wa milele,
Uongoze roho zetu Mbinguni
Hasa za wale wanaohitaji zaidi huruma yako.
heri mimi sijasoma
heri mimi sijasoma
Eh Mungu Utusamehe dhambi zetu
Utukinge na moto wa milele,
Uongoze roho zetu Mbinguni
Hasa za wale wanaohitaji zaidi huruma yako.
naogopa kuitikia hii dua sijua maombi babu. Loluwasamehe mabazazi wote,
Walikukosea kwa sababu ya uumbaji wako tukufu uliotukuka.
Hawakuwa na jinsi kwakuwa majaribu ni mengi na warembo wamegoma kusema 'NO'. Uumbaji wako hakuna bazazi anayeweza kutoutendea haki.
Na sisi tuliobaki duniani, uzidi kutuletea vitu vikali zaidi na zaidi. ili hata tukikanyaga mawaya, tuyakanyage kwa haki na kufaidi kwa kina.
Utuepushe na vishawishi vya madenti. Jela si salama kwa mabazazi.
Tunapokuwa tunafanya ubazazi, ufumbe macho usituone, ili kwa wema wako upate kutusamehe siku ya mwisho.
Daima na milele.
CC KakaKiiza, Kaizer
uwasamehe mabazazi wote,
Walikukosea kwa sababu ya uumbaji wako tukufu uliotukuka.
Hawakuwa na jinsi kwakuwa majaribu ni mengi na warembo wamegoma kusema 'NO'. Uumbaji wako hakuna bazazi anayeweza kutoutendea haki.
Na sisi tuliobaki duniani, uzidi kutuletea vitu vikali zaidi na zaidi. ili hata tukikanyaga mawaya, tuyakanyage kwa haki na kufaidi kwa kina.
Utuepushe na vishawishi vya madenti. Jela si salama kwa mabazazi.
Tunapokuwa tunafanya ubazazi, ufumbe macho usituone, ili kwa wema wako upate kutusamehe siku ya mwisho.
Daima na milele.
CC KakaKiiza, Kaizer
Eh Mungu Utusamehe dhambi zetu
Utukinge na moto wa milele,
Uongoze roho zetu Mbinguni
Hasa za wale wanaohitaji zaidi huruma yako.
Kila siku unazidi kuchanganyikiwa.Kulikoni?
Eh Mungu Utusamehe dhambi zetu
Utukinge na moto wa milele,
Uongoze roho zetu Mbinguni
Hasa za wale wanaohitaji zaidi huruma yako.
Nimeipenda hii portraitoh LORD, i am so weak from temptations..
nani alaumiwe jamani?
baba yetu.......
Salam maria.....
Atukuzwe baba na mwana na roho mtakatifu.....
morning to you best, mi sijakusahau bhana..
oh LORD, i am so weak from temptations..
nani alaumiwe jamani?