eFootball Special Thread

Ila Amrabat umemuona eeh? 😂

Makosa mengi umefanya naona ni kwa sababu ya net kama ningetaka kuyatumia usingerudi hapa 😂

Ila Tony wako kajua kunikera leo sijui umemlisha kande maana kila mpira alikuwa anauingilia yeye 😂
Yupo kikazi yule namlipa tofauti na nyie mnavyomlipa 😄
 
Kuna play off mkuu usisahau, bado wanaweza kukutana 😂

Ligi imekuwa ya moto sana 😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…