ilambona
Member
- Oct 28, 2016
- 84
- 16
Duuu tutakoma cc wafanya biashara wa rejareja mtaji tu laki tano780,000 pamoja na VAT
Daaa fact nipe maarifa hayo basi maana wengine hatuelew na hiliMtaji laki tano EFD machine ya nini,kama sio mbwembwe na uwoga tu,na kutokujua vitu,acheni uvivu tafuteni maarifa nyie...
Sent using Jamii Forums mobile app
Kafanya vizur c unajua tz kubwa hii watu tupo tofaut na mazingira tofaut wengine wapo bush sana kwa io elimu hii kuhusu EFD hatujui dat why tunakua tunaomba kujuzwa anae jua anaelimisha tuuvivu na uwoga wa kuuliza ndo tulio jaatiwa wa tz but ongera kwa ushaur..
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa kama ndio maana me nikauliza Leo baada ya kuona taarifa ya maduka iringa kufungwa sasa sielewi kabisa mwenzenudah kweli lakin mkuu unachokisema ila tujtahd kusoma na kuuliza pale inapobid
Sent using Jamii Forums mobile app
SawaKuhusu kumiliki EFD
1. Ufikishe kiwango hitajika cha Returns 14m kwa mwaka.
2. Wateja wako. Yawezekana biashara yako japo mtaji mdogo lakini wateja wanakulazimisha uwape risiti za TRA.
3. Kwa manufaa yako ili kuweza kuweka udhibiti wa biashara zako.
Karibu EFD. Kama Upo Manyara, Arusha na Kilimanjaro nitafute.