EFD mpaka kwenye daladala.....?

Akhy D

JF-Expert Member
Joined
Jun 10, 2013
Posts
361
Reaction score
420







*You get what you work for not What you wish for*
 
ukiingia hotelini dai lisiti.
ukiingia kwenye daladala dai lisiti
 
bado shushaini na mama ntilie

mpaka kwa wauza karanga na matunda tutafikiwa, nchi itajengwa na wananchi
 
hakika... sasa ni wakati wakila mtu kulipa kodi
 
hadi haja kubwa...? mmmh kupatwa kwa mwezi huku
 
Tukiwa shuleni zamani sana Enzi za mwalimu tunakimbia mchakamchaka huku tunaimba
Taifa litajengawa na sisi vijana
Taifa litajengwa na wenye moyo
leo hii taifa litajengwa na wananchi wenyewe MAGUFULI kaza kamba tu hata kama matunda watakuja kuyafaidi wajuu zetu siyo mbaya
 
Jamani mtazoea tu nchi zilizoendelea zinajiendesha na kodi, hata wauza karanga nao lazima walipe kodi, si wanapata faida. Maendeleo tutayaona kama pesa itatumika ipasavyo.
 
Jamani mtazoea tu nchi zilizoendelea zinajiendesha na kodi, hata wauza karanga nao lazima walipe kodi, si wanapata faida. Maendeleo tutayaona kama pesa itatumika ipasavyo.
Twenzetu wanalipia kodi vizuri tu ....Ila kwao vitu Vya msingi vyote kwao bureee ...exp. Matibabu ,shule n.k
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…