Alvin Slain
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 6,375
- 3,665
Ujumbe mzito unaosambazwa kwa kasi ukihamasisha wafanyabiasha na wenye Maduka kugoma kuanzia kesho,
Mgomo huu ni kugomea mashine za kieletronic kwa ajili ya kutolea resiti,
Mikoa kadhaa ikiwemo Mwanza,Dar,Morogoro nk
wamegoma mapema wiki hii.
Updates..............
Niko eneo la stend kuu ya Mabasi ya Mikoani,
huku maduka mengi yakiwa yamefungwa watu walioko maeneo haya wamesimama kwa makundi wakijaribu kulichambua suala hili kwa undani zaidi.
Baada ya wafanyabiashara wengi hapa Mkoani. Arusha,
Kikao Maalum kimeandaliwa katika ukumbi wa Golden Rose Mjini hapa,
Updates.........
Mwenyekiti wa Maduka Stendi ya juu anajitambulisha hapa
Hoja iliyoko hapa ni EFD.
Mgomo huu ni kugomea mashine za kieletronic kwa ajili ya kutolea resiti,
Mikoa kadhaa ikiwemo Mwanza,Dar,Morogoro nk
wamegoma mapema wiki hii.
Updates..............
Niko eneo la stend kuu ya Mabasi ya Mikoani,
huku maduka mengi yakiwa yamefungwa watu walioko maeneo haya wamesimama kwa makundi wakijaribu kulichambua suala hili kwa undani zaidi.
Baada ya wafanyabiashara wengi hapa Mkoani. Arusha,
Kikao Maalum kimeandaliwa katika ukumbi wa Golden Rose Mjini hapa,
Updates.........
Mwenyekiti wa Maduka Stendi ya juu anajitambulisha hapa
Hoja iliyoko hapa ni EFD.