Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 59,223
- 133,411
Waswahili nao pia wamo, pegamon waliopo pale Msasani kwa Nyerere ni kampuni ya wazalendo ila wao nao na uzalenndo wao sijui ni uzalendo gani kwani mashine zao wanauza bei ghali kuliko kwa wahindi hivyo kuwaforce wateja masikini kuendelea kuwakumbatia na kuwafaidisha wahindi badala ya wazalendo wenzetu!.Ndo maana hii biashara imejaa wahindi !
Yaani di device ya bei poa sana wameikuza mno bei,hata smart phone ingeweza kuwa nasoftware hiyo hasoro kale kaprinter...yaani ni advanced calculator na printer na gsm radio kwa 1,600,000.....mhhhBei ya hizo machine ambayo hulipwa kwa kodi yetu mbona haiongelewi, bei ya EFD ni kubwa mno ukilinganisha na bei ya vifaa vingine vinavyofanya kazi kama EFD, wakati POS terminal zitumiwazo na mabenk huuzwa kwa USD 100-250, EFD huuzwa kati ya usd 1000 hadi 2500 KUNA NINI HAPO ?
Do they have review programs?Mimi na kabiashara changu cha consultancy nimeanza kutumia EFD mwezi July. Unampelekea mteja ESD invoice , TRA wao wanaona figure za pesa tuu as if umelipwa, kumbe mteja hajalipa mpaka leo!. Nafanya return mwezi wa 9 Kitaeleweka tuu!.
Hizo fiscal devices zetu ni za obsolate technology hazionyeshi
1. Mteja ni nani?
2. Hazionyeshi ni bidhaa gani?.
3. Hazionyeshi type of curency zaidi ya
TZS !.
4. Hazionyeshi kama umelipwa au la!.
5. Hazionyeshi credit note wala any
discount!.
6. Ni mimashine ya ajabu kabisa yanayota computer system ya windows tuu, sisi
watu wa os tunaotumia mac
tunalazimika kuweka li pc la window kwa vile TRA wao fiscal software
yao wao ni windows only!.
7. Wale wenye kufanya international
regional transactions kwa nchi za EAC
ndio kabisa, systems zetu don't speak the same language, huku kwetu TRA
wakitumia Ayscuda++, wenzetu Kenya
na Uganda wao wanatumia Simba na
ukijumlisha Rwanda na Burundi only
only God knows what!, tutegemee nini
kwenye regional intergration?.
tambua
Ukishatuma tuu invoice, mashine inatuma Z-report TRA kuwa nimelipwa, in actual fact bado sijalipwa mpaka kesho!.
Mkuu Inkoskaz, kwenye masuala ya kulipa kodi, Watanzania hatuna umoja kabisa, ila kwenye kukwepa kodi sisi ndio wenyewe!.Do they have review programs?
Do they have regular trainings programs?
Haya malalamiko na mapungufu watayajuaje nasi tunalalamika mmojamoja kivyake,hatuwezi kuunda umoja tukawakilisho kilio chetu....au tufanye nini?
Mkuu, mdau hapo juu alikuwa anazungumzia "credit note" (kama ume issue invoice na baade kutaka kuireverse, say labda mzigo uliouzwa ni mbovu etc na hivyo kulazimika kumrudishia mnunuzi pesa yake!). Hata hivyo, ni kweli kuwa kuna baadhi ya hizo machine zinaouwezo wa kuissue credit note, lakini hiyo program ya TRA imeundwa katika njia ambayo huwezi kutoa credit note.Ila kwa upande mwingine ni kutokujua
Kwajinsi ninavyo fahamu efd za Bmtl zina option kabisa ya ku issue credit na kwenye z report yako itaonyesha kabisa kuwa umeuza elfu kumi by cash na elfu mbili by credit...Sasa hapo ndio mziki kutofautisha hizo credit na cash sales.
Mapungufu mengine ambayo mtu unaweza dhani ni tatizo ni mtumiaji mwenyewe watumiaji hawako serious wengi ni wakwepa kodi. Kwasababa mtu unapewa risiti mpaka uombe ilo ni tatizo
Mkuu, mdau hapo juu alikuwa anazungumzia "credit note" (kama ume issue invoice na baade kutaka kuireverse, say labda mzigo uliouzwa ni mbovu etc na hivyo kulazimika kumrudishia mnunuzi pesa yake!). Hata hivyo, ni kweli kuwa kuna baadhi ya hizo machine zinaouwezo wa kuissue credit note, lakini hiyo program ya TRA imeundwa katika njia ambayo huwezi kutoa credit note.
Kwa ujumla bado kuna matatizo mengi tu kwenye utumiaji wa EFDs na kwa kweli kuna loop holes nyingi tu. Kwa mfano umeletewa invoice ambayo ina signature (numbers) pale chini, how do you tell kwamba ni authentic? Kuna watu kadhaa najua wanaproduce invoice hizo kama word document na ku type a string of aphanumeric pale chini (na kwa wasio makini wanaweza kukuletea invoice kadhaa lakini ukiangalia zile signature zinafanana kwa everything). Njia nyingine, ambayo kwa maoni yangu ndio inayowapotezea TRA mapato mengi ni kwa wauzaji wakubwa kuuza bila kutoa riceipts kwa watu hasa walionunua bidhaa na badala yake hutoa fiscal receipt hizo kwa makampuni/vikampuni ambavyo pamoja na kuwa havikununua bidhaa husika lakini vinatumia receipts hizo kudai marejesho ya VAT (input tax) na hivyo kupunguza kiwango cha kodi ambacho wanatakiwa kulipa kwa mwezi. Hili ni tatizo kubwa sana, inagwa kwa sehemu kubwa ni sisi individuals tunachangia kwa kutokudai receipts (kwa makusudi, kwa kutokuelewa umuhimu au basi tu kwa kuzembea!) pale tunaponunua bidhaa.
Tunatakiwa kuanzia kwa policy makers na watunzi wa sheria (wabunge) maana TRA ni watekelezaji tu. Bahati mbaya wengi wa hao policy makers hawana business minds na hivyo mara nyingi inakuwa vigumu sana kuwaelewesha masuala haya au wakati mwingine they are just too busy to research or listen.So? What do we do in such this situation?
Hakuna kaumoja rasmi ila the common denominator ni watu wa TRA walioprogram hizo EFD ndio hao hao wanaendesha hiyo biashara ya kukusanya kodi na kuishia mikononi kwa wajanja.Hao wakeepaji wana kaumoja kao,ama kila mtu na mbinu zake za msituni?
Hili nalo ni tatizo kubwa. Linachangiwa pia na image wanayoipata kutoka kwa wakubwa wao. Kama wao wanakusanya kodi halafu wengine wana ifuja tu, inafika mahala wanakosa incentive ya kuendelea kukusanya (wanaishia kutekeleza sera ya "chukua chako mapema")..Kama wale vishoka wanauza code number za umeme wa LUKU, its inside job
Waswahili nao pia wamo, pegamon waliopo pale Msasani kwa Nyerere ni kampuni ya wazalendo ila wao nao na uzalenndo wao sijui ni uzalendo gani kwani mashine zao wanauza bei ghali kuliko kwa wahindi hivyo kuwaforce wateja masikini kuendelea kuwakumbatia na kuwafaidisha wahindi badala ya wazalendo wenzetu!.
Nimetaka kununua EFD ya Incotex 500F wao wanaagiza direct toka kwa manufacture bei yao ni US $ 2000!, mhindi pale Freedom Electronics waliopo JM Mall anaagiza kupitia kwa agent, yeye anakuuzia the same machine kwa US $ 1,400!, wewe utanunua kwa nani?. Diference ya 600 US $ sio mchezo!.
Bahati tuu mimi niliweka mbele uzalendo nikachukua quotation ya mhindi ikionyesha US $ 1,400 na kumpelekea yule mswahili wangu wa Pegamon na kumuonyesha eti nae ndio angalau akakubali kushuka mpaka US $ 1,600 na nikanunua kwa uzalendo tuu kwa sababu kwa mhindi ningesave $ 200!.