Simple JF-Expert Member Feb 6, 2009 249 121 Oct 24, 2012 Thread starter #5 Mtoto halali na hela said: Kakuaa dah! Click to expand... kakua kinoma,,halafu cheki na uko kwingineko,,,
Mtoto halali na hela said: Kakuaa dah! Click to expand... kakua kinoma,,halafu cheki na uko kwingineko,,,
M Mboko JF-Expert Member Oct 8, 2010 1,095 293 Oct 24, 2012 #7 Kwani wewe hutaki awe Chadema,kumbuka Chadema kinadunda kotekote na sio Lulu tu wako kibao kwa umri kama wake Peoples Power
Kwani wewe hutaki awe Chadema,kumbuka Chadema kinadunda kotekote na sio Lulu tu wako kibao kwa umri kama wake Peoples Power
Amavubi JF-Expert Member Dec 9, 2010 30,145 13,216 Oct 24, 2012 #9 Mara hii tumeshasahau kwamba anafadhiliwa na Halima Mdee?
Mzee wa Rula JF-Expert Member Oct 6, 2010 8,171 3,346 Oct 24, 2012 #11 Simple said: kakua kinoma,,halafu cheki na uko kwingineko,,,View attachment 69195 Click to expand... Wapi mkuu, mbona naona kawaida tehe tehe. Watu mna macho.
Simple said: kakua kinoma,,halafu cheki na uko kwingineko,,,View attachment 69195 Click to expand... Wapi mkuu, mbona naona kawaida tehe tehe. Watu mna macho.
Lambardi JF-Expert Member Feb 7, 2008 16,497 17,372 Oct 24, 2012 #12 Sasa amekuwa sober kweli kweli maana mapombe na uzinzi umepungua kwenda mbele...na yuko saafi kabisa
Zogwale JF-Expert Member Jul 10, 2008 15,287 10,842 Oct 24, 2012 #13 Safi Lulu. Endeleza ya the Great!! Najua mlipendana na yaliyotokea yalitokea bila kupangwa!! It pains jamani.
Safi Lulu. Endeleza ya the Great!! Najua mlipendana na yaliyotokea yalitokea bila kupangwa!! It pains jamani.
Watu8 Platinum Member Feb 19, 2010 70,955 93,932 Oct 24, 2012 #14 Kongosho said: sasa hivi anatamanisha kuoa Click to expand... Hiogopi hedi konkasheni....
Rapha JF-Expert Member Aug 6, 2009 634 200 Oct 24, 2012 #15 Kongosho said: sasa hivi anatamanisha kuoa Click to expand... Haswaaaa!!
Facilitator JF-Expert Member Oct 30, 2010 2,280 1,763 Oct 24, 2012 #18 watu8 said: Hiogopi hedi konkasheni.... Click to expand... Hedi konkasheni, umenikumbusha mbali sana mkuu
watu8 said: Hiogopi hedi konkasheni.... Click to expand... Hedi konkasheni, umenikumbusha mbali sana mkuu
boma2000 JF-Expert Member Oct 18, 2009 3,280 310 Oct 24, 2012 #19 Looh Jamani walioko huko msimmalize huo mtoto mtamu saana anaonekana
Simple JF-Expert Member Feb 6, 2009 249 121 Oct 24, 2012 Thread starter #20 Mzee wa Rula said: Wapi mkuu, mbona naona kawaida tehe tehe. Watu mna macho. Click to expand... tatizo lako umezoea rula...aaaah
Mzee wa Rula said: Wapi mkuu, mbona naona kawaida tehe tehe. Watu mna macho. Click to expand... tatizo lako umezoea rula...aaaah