Ee Mungu muongoe huyu Al-watan.

Ee Mungu muongoe huyu Al-watan.

Tyrone mofekeng

JF-Expert Member
Joined
Mar 19, 2017
Posts
694
Reaction score
613
Dua yangu kwako mungu wangu.... wa babu zangu...... muongoe huyu Al-watan. Ana upeo wa hali ya juu ila umeelekezwa sipo. Hakujui wewe baba wala uwepo wako.
Namuombea aujue uzima wa milele. Na uzima wa milele ndo huu, wakujue wewe, mungu wa pekee na yesu kristo/ Muhammad ( SWA) uliowatuma.
Ee Mungu ukimuongoa huyu na akifanya kazi zako Baba Dunia itapata elimu kubwa
 
Taratibu mkuu bange siyo nzuri ati
 
Al-watan na Kiranga wanashabihiana vitu vingi..,
 
Back
Top Bottom