GE2025 Edwin Soko: Waandishi wa habari walijawa hofu ya Sheria za nchi na Maadili kuripoti Matukio Oktoba 29

GE2025 Edwin Soko: Waandishi wa habari walijawa hofu ya Sheria za nchi na Maadili kuripoti Matukio Oktoba 29

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Richer

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2025
Posts
1,446
Reaction score
2,093
Edwin Soko Mwenyekiti wa Taasisi ya Vyombo vya Habari nchi za Kusini mwa Afrika, akizungumza Novemba 5, 2025 katika Mjadala wa Nafasi ya Vyombo vya habari katika Uchaguzi wa Tanzania uliofanyika Oktoba 29, 2025 na kuambatana na vurugu za Maandamano ambapo Vyombo vya habari vilikaa kimya na umma kukosa Taarifa ya Matukio yaliyokuwa yakiendelea

Soko ameeleza kuwa ukimya wa vyombo vya habari ilisababishwa na hofu miongoni mwa waandishi wa habari pamoja na sheria za nchi na maadili ambazo zinamkandamiza mwandishi wa habari ashindwe kutekeleza wajibu wake


 
Waandishi wa habari hawana tofauti na yule jamaa wa kwenye Biblia (Yuda Iskarioti) aliyemsaliti Yesu kwa vipande 30 vya fedha. Baada ya kupokea rushwa na kutelekeza majukumu yao ya msingi! Sasa hivi wameanza kuweweseka.
 
Back
Top Bottom