Edward Ngoyai Lowassa anavuruga amani ya nchi

Edward Ngoyai Lowassa anavuruga amani ya nchi

Omuchimati

JF-Expert Member
Joined
Aug 23, 2014
Posts
427
Reaction score
202
Jana nimetizama kilichotokea Moshi na pia safari ya Ngoyai Lowassa kuelekea kwenye mazishi ya Mwanachama mkongwe wa chama cha mapinduzi Mzee Peter Kisumo,ilikuwa ni mbwembwe za kisiasa na fujo,hii ni ishara mbaya kwa nchi yetu,huyu mzee amejaa laana haifai kabisa ataleta vurugu ndani ya nchi, watanzania wamezoea amani na kuheshimiana, nimsikiliza Mbatia aliongea ujinga mtupu, yule sio waziri mkuu mstaafu, alijiziulu ni kauli tu ya heshima aliopewa na serikali kuitwa mstaafu, Mbatia usipotoshe watu, ulikuwa umepotea katika ramani umepewa ubunge, tunaona sasa masikio yamezidi kichwa na siku zote naamini unafahamu masikio yakizidi kichwa nini matokeo yake.

Wito kwa serikali yangu na vyombo vya dola, ninyi ndio watunza amani wa nchi hii msije acha mtu mmoja akavuruga amani ya nchi kwa kujinufaisha yeye mwenyewe na familia yake, Chadema wanamtumia tu kama daraja wanajua ni mmbovu ni mchafu,na waliomchafua ni wao wenyewe,watanzania msifanywe kama wajinga,tumieni akili yenu kuhakikisha amani ya nchi inadumu,MUNGU IBARIKI TANZANIA.
 
Magambaz mtasumbuka sana mwaka huu !!
 

Attachments

  • 1439519901035.jpg
    1439519901035.jpg
    10.9 KB · Views: 2,477
Polisi ndiyo wanaanzishaga fujo siku zote kwa matwakwa ya mamlaka ya juu. Hivi kama ule umati wa mamilioni Dar haukuleta fujo, sembuse hao chini ya mia huko Kilimanjaro?
 
Alipokua ccm misafala hamukuiona? Au kisa sasa yupo upinzani ndo anaonekana kuvunja aman? Atakaevunja AMAN ni CCM wenyewe, KWA style hiyo ya Jana kumzuia lowasa ni kuzidi kumpandisha chat paspo kujua
 
We jamaa unahangaika sana,huyo Lowassa tumempenda wenyewe sisi watanzania na ndie atakuwa Rais wetu.
 
Mtoa mada anataka ajibiwe kwa hoja, yeye hoja yake iko wapi?
 
Hakika husuda ni mbaya sana kuliko hata mchawi
 
wax

Mtu aliyeshindwa kihoja utamjua tu...ongea facts sio porojo....mimi sio mfuasi wa siasa lakini anachokifanya huyu Lowassa kinanitia mashaka tena mbaya zaidi anatumia vijana...hivi tumelogwa au.....yaani we msiba unaugeuza sehemu ya kijinadi kisiasa? Si laana hii gharama anazotumia kuupata urais hivi akikosa itakuwaje...lazma tuingie kwenye machafuko.

Huyu ni wakuogopwa wala sio vijana kushabikia....wakati nyie mnahangaika kuuana mwezenu atakuwa nje anawaangalia mnavyochinjana tuu...TANZANIA NI YETU SOTE huu ujinga anaoufanya huyu mtu hauvumiliki....
 
Last edited by a moderator:
Sometimes you should use think double. Kama ni mchafu nani msafi kwenye chama cha ccm? unaongea pumba tu

Ni kweli kibinadamu hakuna aliye msafi mbele ya Mwenyezi Mungu,lakini uchafu unapozidi hadi walio nje wameuona(Chadema)wakausemea hadi nchi ilipata taharuki ,Ccm ikaamua kuitupa hyo taka lakini Chadema waeikota wanaifanya kuwa safi,huu ni ukosefu wa akili na busara ni sawa kuchanganya mkojo na mavi then unampelekea Dr akafanyie diagnosis.
 
Wenzie wapo kwenye majonzi yy mchumia tumbo anapeleka siasa
 
Mtu aliyeshindwa kihoja utamjua tu...ongea facts sio porojo....mimi sio mfuasi wa siasa lakini anachokifanya huyu Lowassa kinanitia mashaka tena mbaya zaidi anatumia vijana...hivi tumelogwa au.....yaani we msiba unaugeuza sehemu ya kijinadi kisiasa? Si laana hii gharama anazotumia kuupata urais hivi akikosa itakuwaje...lazma tuingie kwenye machafuko ..... Huyu ni wakuogopwa wala sio vijana kushabikia....wakati nyie mnahangaika kuuana mwezenu atakuwa nje anawaangalia mnavyochinjana tuu...TANZANIA NI YETU SOTE huu ujinga anaoufanya huyu mtu hauvumiliki....

CCM ndo wataleta vita kwa uchu wao wa madaraka na sisi hatutakubali bao la mkono mwisho bafuni
 
Watu wanahemka balaa yaani ni matusi kwa kwenda mbele duh. Kama kura zingepigwa hapa J.F nadhani huyu Mzee angepata 99.99%. Kwa vile mchezo wa siasa hautabiriki, ikitokea huyu mzee akaanguka hiyo Oktoba, hii mihemko na volkeno hii inayotokota itapoaje? Cool down people. It is just politics and these corrupt politicians probably don't give a damn!
 
Watu wanahemka balaa yaani ni matusi kwa kwenda mbele duh. Kama kura zingepigwa hapa J.F nadhani huyu Mzee angepata 99.99%. Kwa vile mchezo wa siasa hautabiriki, ikitokea huyu mzee akaanguka hiyo Oktoba, hii mihemko na volkeno hii inayotokota itapoaje? Cool down people. It is just politics and these corrupt politicians probably don't give a damn!

Hao ni team El wameingia kwa wingi humu kujaribu kuvuna chochote.
Huwa hawajibu hoja bila matusi.
Nashangaa kwanini ni wepesi sana wa kutukana.
 
Sasa hivi wanatuonaje hawa wafuaccm? Wanasema tunaandamana kwa hiyo wametoa tamko la kuzuia maandamano..

Sasa watambue kwamba Sisi hatuandamani, maandamano yalishafanywa na walimu, madactor, wanafunzi na makundi mengine mengi.

Sisi tunakutana na kiongozi wetu mpendwa. (EDWARD NGOYAI LOWASSA)
 
Omuchimati

Wewe ndiye umevurugwa mwali, lowasa anatuletea amani iliyotoweka ndani ya miaka 10, wanyonge kufungwa bila hatia kama babu Seya na mashekhe wetu, mnyonge ukisema ukweli unaonewa hata kuuwawa, watanzania tumechoka kuibiwa Mali zetu huku mafisadi wachache wa chama cha mafisadi (CCM) wakineemeka na wanyonge kubakia kuwa maskini wa kutupwa
 
Last edited by a moderator:
Wenzie wapo kwenye majonzi yy mchumia tumbo anapeleka siasa

Yaani nchi hii sijui inapoelekea,mara nyingine huwa nasema labda vijana wa sasa hawajui kufikiri,au hawapati mda mzuri wa kujua nchi yao ipo katika mustakbali gani,wamejaa ushabiki usio na kichwa wala Miguu,au Pesa zimewapofusha au ndio ule msemo "politics is an opium of th society"unafanya kazi???
 
Huna akili mjinga kabisa wewe amani gani ya nchi aliyoivuruga? Au kakuchukulia mkeo? Kwenda kuzika ni kosa? Usiwe unakurupuka ndorobo weee ukishakua waziri mkuu unapewa ulinzi hadi unakufa sasa wewe ulitaka nini? Mchumia tumbo mkubwa weye

Ndugu haina haja ya kutukana,
Unamtetea El na wengine wanamkosoa.

Ana haki ya kuhudhuria msiba lakini yale maandamano na bodaboda bendera juu, yaliashiria kampeni na si msiba, na mda wa kampeni haujaanza.

Chukua zuri ,baya liache.
 
Mtu aliyeshindwa kihoja utamjua tu...ongea facts sio porojo....mimi sio mfuasi wa siasa lakini anachokifanya huyu Lowassa kinanitia mashaka tena mbaya zaidi anatumia vijana...hivi tumelogwa au.....yaani we msiba unaugeuza sehemu ya kijinadi kisiasa? Si laana hii gharama anazotumia kuupata urais hivi akikosa itakuwaje...lazma tuingie kwenye machafuko ..... Huyu ni wakuogopwa wala sio vijana kushabikia....wakati nyie mnahangaika kuuana mwezenu atakuwa nje anawaangalia mnavyochinjana tuu...TANZANIA NI YETU SOTE huu ujinga anaoufanya huyu mtu hauvumiliki....

Kama mngejua Tz ni ya wote. Kungekuwa na neutral ground ya siasa kwa wote na si favor kwa watawala na ukandamizaji kwa wapinzani.
 
Watu kwa hisia zao ndio walimpokea kwa mabango na maandamano sasa yeye kosa lake liko wap? Amani gani ya nchi ameiharibu? Asipost vitu tu kwakua mtazamo wake ni mwingine. Hebu aonyeshe huo uvunjifu wa amani kwa muktadha wa jana pale mwanga
 
Back
Top Bottom