Edward Lowassa: Usahaulifu na hadithi za kusadikika

Edward Lowassa: Usahaulifu na hadithi za kusadikika

Namuomba sana Mungu CCM walogwe wampitishe lowasa kama mgombea wa Urais ili ushindi wa CDM uwe rahisi kama kumeza maji. Najua EL hapo atapata mwanya wa kuwahonga wa TZ kwa pesa alizoiba lakini haitasaidia kwa sababu waTZ tutakua wajanja sana kipindi hicho.
Hizi ni ndoto za juha.
 
Ndoto? Kwa hiyo wewe kabwela au bwanyenye hujaelewa hizo data?unapobisha uwe argument siyo kupinga kila jambo.
Wewe umeweka argument gani hapa? . Dawa ya mjinga ni kum-ignore, let me ignore you.
 
Lowasa abakie kuwa mshauri wa ccm tu kama wanamuona mali,urais haitawezekana!
 
Ukweli daima siku zote ni mchungu ila itabidi uumeze hivyo hivyo. Lowassa ni chaguo la umma 2015. Hatudanganyiki na porojo na chuki zenu.

Ina maana kikao cha ccm kilichofanyika dodoma chini ya jk na mukama na nape akazunguka nchi nzima kuuleza maamuzi ya kujivua gamba ilikuwa ni umbea? au chuki!!!!!!

 
Kauli za mufa maji jimbo ni la CDM,huyu LOWASA hana jipya zaidi ya kutumia maneno ya kisiasa kutaka kuwaibia watanzania ,naomba kuuliza je kauli yake iliungwa mkono na wana arumeru,pili nakupongeza kwa post yenye kuturejesha tulikotoka na na kuonyesha kuwa historia inamhukumu huyu mzee mwizi!kama yuko tayari aelezee kwanza sakata la wizi wa mali za umma!
 
Mimi nadhani lowasa anajidanganya sana. anafikiri kuwahonga wana CCM ndio basi anaweza kuwa raisi wa nchi! pumbavu kabisa aondoe wazo la kuwa rais Tanzania
 
Mimi nadhani lowasa anajidanganya sana. anafikiri kuwahonga wana CCM ndio basi anaweza kuwa raisi wa nchi! pumbavu kabisa aondoe wazo la kuwa rais Tanzania
Hivi kati ya Lowassa na wewe nani mpumbaffffffffffuuuuu???? Hakika nyani haoni kundule.
 
Lusinde and the like watapelekwa kuzimu. EL ni kiongozi anayetufaa sana Watz.
bora akalidhika na kipato kidogo cha baba yako kuliko kuutupa utu wako,kwa vijisenti anavyokupa ,nasema hawezi kuwa rais wa nchii labda kama kwa tanzania kuzimu asubilie huko na si hapa duniani
 
Kauli za mufa maji jimbo ni la CDM,huyu LOWASA hana jipya zaidi ya kutumia maneno ya kisiasa kutaka kuwaibia watanzania ,naomba kuuliza je kauli yake iliungwa mkono na wana arumeru,pili nakupongeza kwa post yenye kuturejesha tulikotoka na na kuonyesha kuwa historia inamhukumu huyu mzee mwizi!kama yuko tayari aelezee kwanza sakata la wizi wa mali za umma!
Una chuki binafsi dhidi ya Lowassa. Hon. Lowassa ni influential and hardworking leader.
 
Ina maana kikao cha ccm kilichofanyika dodoma chini ya jk na mukama na nape akazunguka nchi nzima kuuleza maamuzi ya kujivua gamba ilikuwa ni umbea? au chuki!!!!!!

Ni uzabinazabina wa Nape na wenye chuki kama zako.
 
Inaonekana mwalimu wako aliyekufundisha ni Nepi. Halafu una chuki binafsi dhidi ya Lowassa. Shule za kata zimetelekezwa baada ya Lowassa kuachia ngazi.

Acha ujinga wewe.
Alipoondoka Lowasa hakuondoka na serikali nzima ya CCM, hakuna officer hata mmoja kwenye ofisi ya waziri mkuu wala ofisi ya wizara ya elimu aliyeondoka na lowasa, kwa nini project nzuri kama ile ifail namna hii eti kwa sababu lowasa kaondoka, jibu ni kwamba, hakukuwa na proper strategic plan ya kuimplement hiyo project sustainably tena nakosea, hazijawahi kuwapo mipango wala nia ya kufanya kitu kama kile kwenye serikali nzima kuanzia kwa makatibu kata mpaka kwa Jakaya mwenyewe.

Mnazunguka kama hayawani kuwadaa watanzania na vitu visivyo namsingi kwamba Lowasa ana mtandao mkubwa ndani ya CHAMA na serikali, who cares, by the way, kama angekuwa na influence ndani ya serikali ni kwanini viongozi waserikali wanaomuamini hawakusimamia mradi huu kama ulikuwa ni attainable and progressive, why? okay, tuseme ilikuwa ni project ya kisiasa zaidi, wako wapi hao wanamtandao alionao ndani ya CCM kuuendeleza mradi huu, hakuna anayemuamini, ni mla rushwa, mwizi na muhujumu wa uchumi hilo ndio jina lake toka akiwa mdogo enzi za mwalimu.

Nikuulize swali, kwanza inaonekana wewe ni mdogo wake na SIOLEWI, tuache hayo kwanza, nijibu swali, kama Lowasa anaamini kwamba alichokuwa anakifanya ni sahihi ni kwanini asizunguke nchi nzima na kugawa milioni sitini sitini kukamilisha ujenzi wa yale madarasa badala yake anazigawa kujenga makanisa?

Kilichotokea manywele aliamuka, kama kichaa akisaidiwa na nguvu ya madaraka na kuanza kufanya mambo ambayo hata yeye hayaelewi, si amenza kujizungumzisha siku za karibuni, muambieni atueleze ni kwa nini serikali hii imeshindwa kusimamia mradi ule mbona anajua kuelezea time bomb la ajira.

Yeye ndio ametengeneza time bomb kwa kuwadaa wadogo na watoto wetu kwamba wanapata elimu ya kata itakayowasaidia wakati anajua kabisa amewaingiza chaka.

Yes, yuko sawa kabisa, AJIRA NI BOMU LINALOSUBIRI KULIPUKA, SABABU ANAJUA ALIVYOLITEGA.
 
Hi ni kwa nini Lowasa anautafuta Urais kwa nguvu zote hizi ? Kuna kitu gani hasa hajamalizia kufanya anachotaka kumalizia ?
 
The Flamboyant
Today 07:39
#14 Senior Member Array


Join Date : 31st March 2012
Posts : 59
Rep Power : 312
Likes Received3
Likes Given0



Karibu sana JF
 
Acha ujinga wewe.
Alipoondoka Lowasa hakuondoka na serikali nzima ya CCM, hakuna officer hata mmoja kwenye ofisi ya waziri mkuu wala ofisi ya wizara ya elimu aliyeondoka na lowasa, kwa nini project nzuri kala ile ifail namna hii eti kwa sababu lowasa kaondoka, jibu ni kwamba, hakukuwa na proper strategic plan ya kuimplement hiyo project sustainably tena nakosea, hazijawahi kuwapo mipango wala nia ya kufanya kitu kama kile kwenye serikali nzima kuanzia kwa makatibu kama mpaka kwa Jakaya mwenyewe.

Kilichotokea manywele aliamuka, kama kichaa akisaidiwa na nguvu ya madaraka na kuanza kufanya mambo ambayo hata yeye hayaelewi, si amenza kujizungumzisha siku za karibuni, muambieni atueleze ni kwa nini serikali hii imeshindindwa kusimamia mradi ule mbona anajua kuelezea time bomb la ajira.

Yeye ndio ametengeneza time bomb kwa kuwadaa wadogo na watoto wetu kwamba wanapata elimu ya kata itakayowasaidia wakati anajua kabisa amewaingiza chaka.

Yes, yuko sawa kabisa, AJIRA NI BOMU LINALOSUBIRI KULIPUKA, SABABU ANAJUA ALIVYOLITEGA.
Waingereza husema "give a dog bad name to kill it". Ndicho wewe ulichokifanya hapa kuhusu Hon. Lowassa. Ukweli utabaki pale pale kuwa alipokuwa PM alisimamia kwa ustadi mkubwa ujenzi wa shule mpya [ kata?] pia akiwa na master plan ya nini kifanyike ili elimu bora itolewe kwa wanafunzi. Unfortunately, baada ya yeye kujiuzulu viongozi waliobaki pamoja na Pinda wakaitelekeza mipango ya kuhakikisha elimu bora inatolewa. Kumbuka Lowassa alikuwa na mkono wa chuma ktk kusimamia utekelezaji wa mipango ya serikali something which Pinda and JK lack it.
 
Back
Top Bottom