mapesasaidy
Member
- Jun 19, 2015
- 6
- 0
Vipi ujerumani mnampeleka na ambulance?
Nje ya CCM el atakuwa Raisi bora kabisa, lakini sio ACT, bali UKAWA.
Money can't buy life. Bob Marley. May 1981. Miami, USA.Hahahahahaahha mlijitahidi kuja kwa mbwembwe sasa mmeona Tsunami ilosambaratisha mbwembwe zenu eeenh? Next time nawashauri mpunguze mbwembwe na msidhani fedha ndo kila sehemu inapenya, sehemu nyingine zinafeli kama zilivyofeli kwenu, oneni sasa mzee wenu alivyomwaga fweza lukuki kila kona kuhonga ilimradi apite, kaambulia kufuatwa na watu tu kila kona ya nchi lkn kapewa Total Ban, naamini huko alipo haamini kilomtokea lkn ndo basi tena, sisi hatununuliwi kwa hela zake yeye sasa akanywe supu na hizo hela zake pamoja na wale wanaomfata kama inzi. Hahahaha pole mzee Lowahaswa! Kubali matokeo Welcome again!
Yaani nimefurahi kweli maana walikua wananikera kupita Watu hata hawajiongezi unahongwa ili ushabikie unakubali nikajua wengi hawaipendi hii nchi wanapenda vijimaslahi vyao vya muda mfupi hureeeeeeeerrr Dr. Slaa chukua nchi mafisadi yanyongelewe mbaliHahahaaaa! Na walikuwa wanakera sio siri, ukiwauliza kwanini tumchague Lowassa kuwa rais wetu?(if akipitishwa na ccm) hata hawana majibu yenye mashiko wanajiumauma tuuuu, afadhali kwakweli.
Kwa umri wake,
Afya yake,
na viwango vya anavyokimbizana nao,
ni heri tu akapumzika kwa amani.
Naomba nipitishe daftari la lambi lambi
Hata wewe ulikuwa team lowasa, umeasi tu baada ya kusikia Tetesi......, simama imara!Hahahahahaahha mlijitahidi kuja kwa mbwembwe sasa mmeona Tsunami ilosambaratisha mbwembwe zenu eeenh? Next time nawashauri mpunguze mbwembwe na msidhani fedha ndo kila sehemu inapenya, sehemu nyingine zinafeli kama zilivyofeli kwenu, oneni sasa mzee wenu alivyomwaga fweza lukuki kila kona kuhonga ilimradi apite, kaambulia kufuatwa na watu tu kila kona ya nchi lkn kapewa Total Ban, naamini huko alipo haamini kilomtokea lkn ndo basi tena, sisi hatununuliwi kwa hela zake yeye sasa akanywe supu na hizo hela zake pamoja na wale wanaomfata kama inzi. Hahahaha pole mzee Lowahaswa! Kubali matokeo Welcome again!