Edward Lowassa special thread

Hahahahaha umempa vipande vyake, hujamkopesha, umempa hamsini zake hahahahaha haya maneno aliwahi kuyasema Mchungaji Gwajima alipomtukana Kadinali Pengo, tatizo alijigamba sana huyu mzee akatuina watnzania ni wenye njaa sana kana kwamba fedha zake ndo kila kitu hata kununua urais sasa kaipata fresh yake
 
Hivi KWA Akili YA Kawaida LOWASSA Kweli. ...!!! Common sense lowasa apite.
 
Haiwezekani mafuriko yakazuiwa na kiganja lazima yatatokea upande mwingine! Take it from me
 
Akubali tu,kundi lao ndio lililowafanyia vituko Salim Ahmed Salim na John Malecela.Sasa zamu yake,malipo hapa hapa duniani ameze tu maumivu wenzake pia waliumia kama anavyoumia yy sasa mkuki kwa.......:banghead:
 
Kuna mtu alikuwa ananikela sana FB alikuwa amejipaka masinzi usoni.

Sasa haone sauti ya wengi ni ya Mungu. EL ana dharau sana. Utafikiri alitufuga.
 
Kuna uwezekano mkubwa wa watu kuzurumika.Ambao mlikuwa hamjalipwa imekula kwenu.
 
Inaumiza kusalitiwa aisee..

Kwa hiyo JKM umeamua kumsaliti msela wako kabisa kabisa yani..Yani umesahau faulo mlizowafanyia wakina Salim kipindi kile mzee hadi ukapitishwa yani umesahau kabisa

Ha ha ha ha....kinachomuumiza zaidi Lowasa ni kumuona Joka la Mdimu kwenye top 5 aisee,ikakera hadi basi

Yote kwa yote,tukutane October,pole mzee EL ha ha ha
 
Lowassa tuletee balali na pia kigawe chama hicho,ondoka na wabunge wanaokuunga mkono.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…