Infact EL anafaa kupeperusha bendera ya genge la WAHUNI (CCM) maana kwenye genge hilo ndie anaefaa maana wote wezi tu,,ila urais HAWEZI maana tunahitaji mtu ambaye mwenendo wake hautiliwi shaka!!!!!!!Kwa yeye kutuhumiwa kua mla rushwa na fisadi papa inatosha kwa EL kutokua na sifa ya kua rais wa nchi hii