Edward Lowassa special thread

Unaota ndoto ya mchana siyo?
 
Kama CCM wanajua kusoma alama za nyakati hawata dhubuti kukata jina la Lowasa kwani ndo kiongozi pekee ndani ya CCM anaeungwa mkono hadi na baadhi ya wanachama wa Upinzani..
 
Tafuta YouTube Kuna clip ya jamaa mmoja Hivi mfupi mwenye changamoto ya miguu namnukuu akisema "Nasikia wanataka kumkata lowassa jina kubabake hatutokubali......." itafute Facebook au YouTube.
 

Si ni Mtume 🙂mad:?!)Kawa nabii tangu lini tena?
 
Mpigeni tu mawe.....na akishafika pale Magogoni mwendelee tena kumchafua....Viva Lowassa,ata Masiha yesu kristu alidhihakiwa na hata kusulubiwa lakini akawa mfalme na mwokozi andiko likatimia,Yesu alisalitiwa lakini alisamehe
 
ATAKATWA nn Mkuu,mana naskia atakatwa atakatwa ila sielewi atakatwa nn??
 
Alishasema kuwa hana plan B wala C.
Yeye unaujua udhaifu wa ccm zaidi hata ya mh. Mnyika kwa taarifa yako. Zungukeni Mbuyu lakini mwisho wake ccm vi vipande vipande na historia iko wazi ni wakati gani kimevunjika na ni nani kakivunja!
UKAWA, hatutaki ngonjera bali siku 100 za kwanza ni KATIBA MPYA na bila kuangaika sana bali tumieni template ya Jaji Warioba
 
Mi si mgawa pumzi, bali tuombe tuwepo wakati el akiapishwa, amejipanga, ana vigezo vyote kwa 'standard' ya nchi yetu
 
Ha ha ha haaa hizi threads sasa baaasi; tumechoka....subirini Jumatatu ijayo kama kuna makato au hayapo !!!
 
MWAMBIE MJINGA WAKO MBOWE ACT ni mchezo mwingine akomae na ccm na fuata upepo wake
 

hatakatwa,ila atashirikiana na ukawa kwa kuwa nchi ni moja(japo uwaziri hamtapewa),akiwa madarakani sahauni kupigwa rungu na polisi,kazi ya polisi ni kulinda usalama si kukupiga wewe mwana ukawa, atawaambia na kukaa nao ukawa kuwaleza kwamba shule na maendeleo hayatachagua jimbo,kama mbunge wa ukawa anakwamishwa na halmashauri yoyote bila sababu,amwambie, pamoja tujenge nchi
 
Sioni MTU wa kuishinda sauti za watanzania ;
Nyakati zimebadilika mno Nguvu za Mgombea yeyote sharti zitokane Na Mahitaji yao

Eti anakubalika Na hata Na wapinzani ?? Aibu
 
kama baadhi ya wapinzani wanamkubali.....ok......lakini siyo wa UKAWA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…