Ungesema kabisa unataka cheo gani, je u-DC, u-RC, Ukurugenzi, mnikulu wake au Ukatibu wa Bunge au Ukatibu wa CCM wilayani?
u-DC au ukurugenzi kaka lakini hata akinipa mkoa sio vibaya.
kutokana na spidi aliyonayo huyu "mchukia umaskini"ni wazi anachukua nchi.kumzuia haiwezekani,so naomba anayeweza kuniunganisha na mtandao wake anisaidie ili baada ya uchaguzi nami niwe pema peponi.
u-DC au ukurugenzi kaka lakini hata akinipa mkoa sio vibaya.
Njoo Monduli.......wote tupo huku.......
Kama I u-DC au Ukurugenzi, chagua Wilaya maskini za pembezoni tena hizi mpya mpya.
kutokana na spidi aliyonayo huyu "mchukia umaskini"ni wazi anachukua nchi.kumzuia haiwezekani,so naomba anayeweza kuniunganisha na mtandao wake anisaidie ili baada ya uchaguzi nami niwe pema peponi.
mtafute " think tank " wake mzee apson mwang'onda au chief wake wa ulinzi wake mzee tendewa watakukutanisha nae au kama huna haraka sana vuta subira hadi baada ya tarehe 12 july 2015 utakwenda kumwona vizuri huku ukimpa pole na pengine hata kumpelekea na dawa za kutibu moyo na vidonda vya tumbo kutokana na dhahama kubwa itakayomtokea hiyo tarehe niliyokutajia hapo juu.
momba kaka inatosha.
Pasco kuna mteja wa jamaa yako huku.namjua mmoja tu anaitwa pasco anayeweza kumuita anisaidie.
Una bei gani nikuunganishe? Mi mwenyewe simzimikii ila kuna mtu namfahamu anajuana na huyu Mzee, aisee anavutaga hela ndefu Sana!!kutokana na spidi aliyonayo huyu "mchukia umaskini"ni wazi anachukua nchi.kumzuia haiwezekani,so naomba anayeweza kuniunganisha na mtandao wake anisaidie ili baada ya uchaguzi nami niwe pema peponi.
u-DC au ukurugenzi kaka lakini hata akinipa mkoa sio vibaya.
Ha ha ha if you can't beat them, join them
andika neno lowasa tuma kwenda namba 155556, nasi tutakipigiakutokana na spidi aliyonayo huyu "mchukia umaskini"ni wazi anachukua nchi.kumzuia haiwezekani,so naomba anayeweza kuniunganisha na mtandao wake anisaidie ili baada ya uchaguzi nami niwe pema peponi.
hahahaaaa! what if you can't join them?