Edward Lowassa special thread


Uko duniani au Kaburini maana unachoandika kama marehemu
 
 
Hii kauli aliitoa jana lowasa akiwa morogoro kuhusu matatizo ya watu wa morogoro, kauli hii imenipelekea kuuliza maswali yafuatayo,

1, kweli tunaitaji rais wa kutegemea msaada wa tume kufanaya maamuzi?

2, kweli tunaitaji rais wakutengemea tume kuongoza nchi?

3, tume ambazo zimekuwa zikiundwa na hazijibu matatizo ya wananchi lowasa anaona ndo njia sahihi ya kutumia ?

4, maamuzi magumu anayotuaminisha kuwa atayafanya yako wapi? Kama anategemea msaada wa tume?

5, tume zilizoundwa zimeleta majibu kwa wakati mwafaka kwa wananchi?

Kwa maswali haya naona lowasa sio rais anayeweza kutusaidi kama mpaka sasa anajpanga kutumia tume kufanaya maamuzi ya msingi na kuongoza nchi bali tunamtaka rais anayeweza kusimama yeye mwenyewe na kufanya maamuzi kwa wakati mwafaka,

wanajif rais anayejipanga kutumia tume ili kufanya maamuzi ndo rais anayetakiwa kwa sasa ili kututoa mahali tulipo kwenda tunapotaka kwenda?
 
Mungu akikuinua nani anaweza kukuzuia..!?
Lowassa kainuliwa na Mungu wa mbinguni, mtashaaa...!!! Tatizo nyotaaaa...!!!!
 
Tunatoa shukrani za dhati kwa wote waliojitokeza kumdhamini na kumsikiliza Mh. Edward Lowassa katika mikoa yote aliyofika. ASANTENI SANA.

"Sauti ya wengi ni sauti ya Mungu"
 
Mbwembwe zote wadhamini kiduchu hivyo, hama kweli hakika huyu atakiwi, kutumia bil 200 kuambulia wadhamini 870,000!!!
 
kaambiwa atafute wadhamini mikoa 15 yeye akenda mikoa 31,akaambiwa watu 450 yeye maelf, je alielewa amelekezo ya chama chake? mtu asiyefata maelekezo ya viongozi wake hana sifa ya kuwa kiongozi.
 
bado hana jipya wala sio kuwa anakubalika na hakuna neno zito,uzito wake uko wapi? nenda kuria unaenda kushoto then unasema neno zito? hatahivyo watu wanaotakiwa kupiga kura ni 24 mil waliojitokeza kwa njia za magumashi hata 1mln haifiki je hao wengine wako wapi? na anajua wako nyuma ya nani?
 
Walitakiwa 450 tu kwa mikoa 15, hao wengine wanini? Mwambie aache sifa za kijinga.

Mkuu mi sioni kama kuna tatizo japokuwa mbegu inayosababisha MIMBA ni ile ya kwanza tu lakini MUNGU akafanya zikawa zinatoka na nyingine nyuma yake unadhani kakosea kwenye UUMBAJI wake.................tunaweza tusijue kwa nini lakini yeye kama MUUMBA anajua na inaweza kuwa na maana kubwa tu pengine zaidi ya unavyofkiria kiongozi sidhani kama kuna tatizo juu ya hilo mkuu.
 
Kama ameshindwa kuelewa maelekezo ya chama je katiba ya nchi itakuwaje, je siataendesha nchi kibabe
 
Unajua mie hadi sasa sijaelewa kama CCM walitoa maagizo ya wagombea kukusanya wadhamini wengi kadiri iwezekanavyo. Lowassa amekuwa akilitumia sana hili, na kuliweka mbele sana magazetini nk. Lakini najiuliza, ina mana wagombea wengine walishindwa kuonyesha wingi wa wadhamini wao au walichukua tu idadi inayotakiwa ya wadhamini kila mkoa, kulingana na maagizo ya CCM?

Nakumbuka Muhongo alipeleka DVD akaambiwa hazitakiwi kwenye kurudisha form za ugombea, sasa vipi Lowassa na hii 870,000?

Mie nadhani kwa jinsi Lowassa alivyotumia hili suala la wadhamini ni sababu mojawapo tosha ya kumwambia ana silka ya kukiuka utaratibu, na kwamba alikuwa akifanya kampeni badala ya kutafuta wadhamini. Mwache akaangwe kwa mafuta yake mwenyewe. Maana kufanya kampeni kwa kutumia mgongo wa kutafuta wadhamini ni kutowatendea haki wagombea wengine wa CCM, hasa ukiangalia kwamba sasa anajinadi kwamba alipata wadhamini 870,000 tofauti na wagombea wengine wa CCM. Kwani CCM iliweka ushindani wa kuwa na idadi kubwa ya wadhamini kwa wagombea?

Huyu jamaa kweli mara nyingine haoni mbali juu ya athari za mambo anayofanya. Amekuwa so blinded na kutaka kuwa raisi kiasi kwamba yuko tayari kufanya lolote ili aupate. Kwani Ikulu kuna nini kwa mtu kama Lowassa?

Mtu mwenye obsession ya Ikulu namna hii ni wa kutilia shaka sana.

acha wivu wa kike kila mtangaza nia amezidisha idadi coz sheria inaruhusu! mwenye wachache ana 650!
 
Kama ni kweli wanachama hai wa CCM Tanzania nzima wapo mil 6, basi jamaa kajizolea 14.4%.
 
kaambiwa atafute wadhamini mikoa 15 yeye akenda mikoa 31,akaambiwa watu 450 yeye maelf, je alielewa amelekezo ya chama chake? mtu asiyefata maelekezo ya viongozi wake hana sifa ya kuwa kiongozi.

Ni kuanzia Watu 450 na Siyo Mpaka watu 450!

 
kaambiwa atafute wadhamini mikoa 15 yeye akenda mikoa 31,akaambiwa watu 450 yeye maelf, je alielewa amelekezo ya chama chake? mtu asiyefata maelekezo ya viongozi wake hana sifa ya kuwa kiongozi.

sheria inasema mikoa kuanzia 15 sio mwisho ndo 15 na pia wadhamini angalau 450 hiyo ni minimum so unaweza zidisha ! acha wivu wa kike
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…