Edward Lowassa special thread

mimi nilikuwa njiani nimetoka dar kurudi Arusha kuanzia KIA nimekutana na huo msafara wa mamvi mpaka kero huko barabarani wamekaa team ya mamvi wanamsubiri huu usanii angejua kitachomkuta asingehangaika kiasi hicho
 
Lowasa ni kansa ya taifa hili,mungu tuepushe na hili janga
 
Mkuu mimi nipo Arusha taarifa hizi nimeambiwa na mkereketwa wa team Lowassa ambae ukimsema vibaya anaweza kukata na sime mchana kweupe.Namna alivyokuwa akiwasilisha taarifa yake nikajua ni kweli kabisa kwasababu kwanza alililaani jeshi la polisi linahujumu Laigwanan.

mimi nilikuwa njia natoka dar kurudi Arusha kuanzia KIA nimekutana na huo msafara wa mamvi mpaka kero huko barabarani wamekaa team ya mamvi wanamsubiri huu usanii angejua kitachomkuta asingehangaika kiasi hicho
 
Hizo hela za kimafia zitawasumbua sana ccm
 
mimi nilikuwa njiani nimetoka dar kurudi Arusha kuanzia KIA nimekutana na huo msafara wa mamvi mpaka kero huko barabarani wamekaa team ya mamvi wanamsubiri huu usanii angejua kitachomkuta asingehangaika kiasi hicho

Ndiye NEXT. Raisi
 
Hii timu Lowassa kila siku inaleta muujiza mpya.

Maana Mbeya ilipata wadhamini 53,000 wakati mkoa wa Mbeya una jumla ya wanachama wa CCM 31,000

Iringa ikapata wadhamini 59,000 wakati mkoa wa Iringa una jumla ya wanachama wa CCM 39,000

Kweli hii ni timu ya matumaini, inaboresha mpaka wanachama wa CCM wanaongezeka hewani.
 
hovyoooo watu wengine mnajishushia hadhi tu.hivi kama huyo EL angekua ametoa hiyo mifedha na kuendelea mpaka sasa kweli team mrmbe na wengine wangekosa point tena ya kuisambaza na whatsap.tatzo hamuwezi zuia mafuriko kwa mikono na kila siku mnakuja na ngonjera mpya,mtoa mada wenzio walisema EL anahonga mpaka million 500 kwa watu kama kuna diamond na wengine kwenye taasisi za utafiti wa uchaguzi mkuuu.nafkiri sasa tuanze kufikiri kwa kutumia kichwa maana hyo mihela ukiicalculate huenda inafika trillion 100 sasaa daaah kweli uongo mbaya haya kazen buti kuendelea kubwabwaja hovyo
 
Arusha imepata wadhamini zaidi ya laki moja wakati mkoa wa Arusha wanaCCM hawafikii hata elfu hamsini.

 

Haya ni mapepo hayafiki popote
 
Si kidogo fikiria Ndugu zetu waislam wapo katika mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhan muda wa kwenda kuswali unawadia kinajitokeza kikundi cha watu wanaamua kuvuruga swala yao tena wanatumia vyombo vyenye sauti kubwa kiasi ndani ya msikiti hakuna masikilizano.

Viwanja vya mikutano vipo vingi Sheikh Amri Abeid,Kilombero........Huko kote kagoma kwenda kaamua maksudi kuvuruga swala za watu.

Lowasa ni janga la taifa hili
 
Nasikia akikosa atachukua maamuzi magumu.. ni maamuzi gani hayo magumu??
 
Arusha imepata wadhamini zaidi ya laki moja wakati mkoa wa Arusha wanaCCM hawafikii hata elfu hamsini.
Asubiri fomu zake zikataliwe kwenye kikao cha CCM. The guy is so theatrical.
 
Watumiaji wa barabara kati ya Arusha Moshi muda kati ya saa tisa hadi saa mbili usiku foleni ni kubwa sana Lowassa na kambi yake wanalijua hilo lakini kwakuwa anapenda sifa za kitoto kaamua kukusanya piki piki nyingi may be 100 au zaidi magari kutoka Arusha yangesimama na yale kutokea Moshi yangesimama shughuli za kiuchumi zingesimama,shughuli za kijamii hasa wagongonjwa kutoka Arusha wanaopelekwa KCMC wangefia njiani kisa Lowassa anasaka wadhamini ambao tayari walishatimiza jukumu la kumdhamini tangu siku nyingi sana hakuwa hata na sababu ya kuja Arusha na mbwembwe nyingi.

Dr Gharib Bilal,Samwel Sitta,Malecela,Sumaye,Membe wote hawa wamepita Arusha na mikoa mingine bila kusababisha usumbufu au kusimmisha shughuli za kijamii.
 
Siamini kama hawa bodaboda wanapewa hizo pesa..mi nadhani ni uzushi...mwenye evidence alete hapA..mi nadhani huyu Lowassa wanampenda tu sio pesa zake...

Boda boda wao wanachoangalia kwa siku mahesabu yao yameenda,hawawezi kukataa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…