Na yeye pekee ndiye mwenye uwezo wa kuifilisi na kuididimiza nchi kwenye lindi la umaskini uliotopea kisa kuwafurahisha / kurudisha fadhira kwa "marafiki zake".
Weweeeeeee....ugusa unase...!!!
Yesterday was another day, another shocking miracles, wonders, surprises still happening ktk Safari ya Matumaini, ilikuwa Songea, Ruvuma...
Mungu akikuinua nani tena anaongeaaaa..!? Here he comes EL mpango wa Mungu... jana utitiri, tsunami, mafuriko, tetemeko la watu Songea, watu 53 elfu wamdhamini Rais wao mtarajiwa...!!!
Mr. President in waiting, ilibidi apande ktk paa la ofisi ya Mkoa, ili aongee na utitiri wa watu...!!!
It was electricity, crying, chanting, waving, singing, jovial mood, cheers, tears all over Songea town...!!! EL Mwana wa Mungu went VIRAL deep to the hearts of
Wananchi...!!!
Asanteniii Songea, See u soon dearest lovers...!!! CCM... CCM...eeeehhh 🔊🔊📻L📺o📺w📡a🎉s🎉s🎁a🎇🎇🎆🎆
Chama cha mapinduzi CCM number oneeeeee 🔊🔊🔔🔔📣📣📢📢💻💻📱💽📀💿📼📷🎥🎉🎁🎁🎇🎐🎄👻👻💡💡🎉🎉🎉🎉
Pesa ndiyo wanayoifuata mkuu wala usijali.siamini kama watanzania tunawapenda mafisadi hivi
Jamani naomba ushauri hivibukimuondoa lowasa ni nani anaweza kufanya maamuzi magumu katika ccm?
Umenena rafiki , nilikuwa siamini kwamba Lowassa mgonjwa. Nimesikitika sana baada ya kutumiwa clips ikionesha jamaa. Anashindwa kusimama duu rais mgonjwaaaaaa. Naomba mnielelekeze namna ya ku post video mjionee wenyewe.
Acha kutudanganya mtu mgonjwa hata kutembea ni changamoto hawezi kupanda juu ya paa.
Acha kutudanganya mtu mgonjwa hata kutembea ni changamoto hawezi kupanda juu ya paa.
Pesa ndiyo wanayoifuata mkuu wala usijali.[/ndio kwa hyo???
Hivi sasa Lizaboni atakuwa amebanwa na tumbo la kuhara!!Weweeeeeee....ugusa unase...!!!
Yesterday was another day, another shocking miracles, wonders, surprises still happening ktk Safari ya Matumaini, ilikuwa Songea, Ruvuma...
Mungu akikuinua nani tena anaongeaaaa..!? Here he comes EL mpango wa Mungu... jana utitiri, tsunami, mafuriko, tetemeko la watu Songea, watu 53 elfu wamdhamini Rais wao mtarajiwa...!!!
Mr. President in waiting, ilibidi apande ktk paa la ofisi ya Mkoa, ili aongee na utitiri wa watu...!!!
It was electricity, crying, chanting, waving, singing, jovial mood, cheers, tears all over Songea town...!!! EL Mwana wa Mungu went VIRAL deep to the hearts of
Wananchi...!!!
Asanteniii Songea, See u soon dearest lovers...!!! CCM... CCM...eeeehhh Lowassa
Chama cha mapinduzi CCM number oneeeeee 