Edward Lowassa special thread

kaka unatumiwa si bure! nitajie kiasi alichoiba lowassa na ushahidi tuwekee hapa!!
 

Utendaji gani wa firauni lowasa?Au wa kuleta Richmond?
 
Mwambieni alipe kwanza waendesha boda boda aliowatapeli Lindi!.
 
huyu jambazi alikuja mwanza akatulaghai tukajitokeza nyomi.Mpaka sasa hela yetu hatujalipwa na Laurence Masha.El ni laghai tulipeni hela zetu au tutatoa siri zake zote
 
Nimesikia tayari yuko mikoani. Ni lini atatia timu Dar ili nijue niombe ruhusa kazini mapema kabisaaa!
 
Matimaini yenu ni kuendelea kugawiwa visenti unyonge huu utaisha lini Tz
 
mnakataaa lowasa hagawi pesa. mby wamevuna kinoma huu mwaka wa née ma coz mazao juu. il à lowasa urais no. waulize ccm walichofanywa kata ya iyela licha ya kugawa pesa.

Mbeya ccm no
 


Yafuatayo ni mhimu sana:
(1)Ni kweli kabisa kuna umati mkubwa unamfuata Lowasa kwa Ushahidi tulio ona
(2)Ni Historia kwa kuwa CCM hawajawahi kupata umati kama huo isipokuwa ni CCM ya Lowasa.
(3)Kama umati huu ungekuwa wa Kweli basi CCM wasingehaha na CHADEMA.
(4)Jambo la Kushangaza idadi ya watu wanaomdhamini Lowasa katika eneo moja ni zaidi ya Wana CCM walioeneo hilo.
Kwa mfano Mbeya Mjina hapo ni vigumu kuamini kuwa kuna wana CCM 53,000. Kumbuka eneo hilo SUGU alishinda kwa Kishindo
(5) Taarifa zilizopo ni kwamba Lowasa anakadi zake za CCM ambapo anagawa siku yeye anapoingia eneo husika
(6)Watu wanajiandikisha kabla hajafika na wakati akifika wanajitokeza kufanya usanii
(7)Hivi ni kweli watu wanaochukua kadi za CCM kwenye kampeni za Lowasa wanaweza kuwa wanachama hai wa CCM??
 
Leo ilikua ni zamu ya watu wa mbeya kuvuna mapesa ya Fisadi mkuu.

Mkuu, acha wavune maana ukweli wenyewe anarudisha pesa alizowaibia watanzania. Wenye bodaboda wana uhakika wa lita tatu za petroli pamoja na Shs elfu 10 kwa mapokezi ya saa moja tu. Mwenye bodaboda anaweza kukaa kijiweni saa kadhaa asipate hiyo hela.

Mwaka itakuwa kula kwa Lowassa, kura kwa UKAWA!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…